Mparee2
JF-Expert Member
- Sep 2, 2012
- 3,092
- 5,386
TANAPA ,NCAA, TAWA z
Haya mashirika siyaelewi kabisa
Yaani kuna visheria vya ajabu ajabu kutoka A & B & C hata unaona Aibu kumweleza mgeni
Mfano: mgeni alipe malazi (Camping fees NCAA) kwa night tano; halafu kwa sababu flani flani ashindwe kuja siku ya kwanza; eti ana ambiwa hata zile nne zilizobaki haruhusiwi kuzitumia; alipie tena upya??? SHAME!!!