green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 12,387
- 39,119
Mme wako Netanyahu anahangaika mda huu kwa mabwana zake wamsaidie kupangua makombora ya Iran ๐๐๐Eti kuhofia kipigo,[emoji23][emoji23]...wendawazimu !
Acha propaganda wewe! Kama wao wanauwezo wameshindwaje hata kuwakomboa mateka wao alafu waweze kuingia kimya kimya Iran?Kweli waarabu akili zao ni ndogo, wanadhani watashinda Israel kwenye uwanja wa vita? Kuchukua tahadhali ni muhimu sana kwa ndege kuruka, ndege kuruka inaweza kufyatuliwa na kombora la Israel au Iran au Hezibolah. Kama kweli Israel ilihusika kwenye mauaji ya Rais wa Iran, Ismaily Haniya, kuna uwezekano mkubwa wanajeshi wa Israel kuwepo kwenye ardhi ya Iran kwa ajili ya maandalizi ya vita, ukiona Iran hawezi rusha ndege mpaka Israel labda makombora ila Israel anaweza rusha makombora na ndege kushambulia Iran.
So what? Just precautionMashirika ya ndege ya Marekani yamekatisha safari za kwenda Israel kwa kuhofia kipigo toka Iran
โก๏ธ๐ฎ๐ฑ๐บ๐ธ Airlines are canceling flights to Israel
Starting tomorrow, United Airlines and Delta Airlines will be cancelling all flights to Israel - ynet
View attachment 3058030
Sasa magaidi ya Urambo huko Tabora yanaelewa somo lako!!!??Kweli waarabu akili zao ni ndogo, wanadhani watashinda Israel kwenye uwanja wa vita? Kuchukua tahadhali ni muhimu sana kwa ndege kuruka, ndege kuruka inaweza kufyatuliwa na kombora la Israel au Iran au Hezibolah. Kama kweli Israel ilihusika kwenye mauaji ya Rais wa Iran, Ismaily Haniya, kuna uwezekano mkubwa wanajeshi wa Israel kuwepo kwenye ardhi ya Iran kwa ajili ya maandalizi ya vita, ukiona Iran hawezi rusha ndege mpaka Israel labda makombora ila Israel anaweza rusha makombora na ndege kushambulia Iran.
Wew ni mwarabu?Acha propaganda wewe! Kama wao wanauwezo wameshindwaje hata kuwakomboa mateka wao alafu waweze kuingia kimya kimya Iran?
Kwani umeulizwa mbona unapanic kwa kuelezea usichokifahamuKweli waarabu akili zao ni ndogo, wanadhani watashinda Israel kwenye uwanja wa vita? Kuchukua tahadhali ni muhimu sana kwa ndege kuruka, ndege kuruka inaweza kufyatuliwa na kombora la Israel au Iran au Hezibolah. Kama kweli Israel ilihusika kwenye mauaji ya Rais wa Iran, Ismaily Haniya, kuna uwezekano mkubwa wanajeshi wa Israel kuwepo kwenye ardhi ya Iran kwa ajili ya maandalizi ya vita, ukiona Iran hawezi rusha ndege mpaka Israel labda makombora ila Israel anaweza rusha makombora na ndege kushambulia Iran.
Ismail haniey siyo Rais wa Iran. RekebishaKweli waarabu akili zao ni ndogo, wanadhani watashinda Israel kwenye uwanja wa vita? Kuchukua tahadhali ni muhimu sana kwa ndege kuruka, ndege kuruka inaweza kufyatuliwa na kombora la Israel au Iran au Hezibolah. Kama kweli Israel ilihusika kwenye mauaji ya Rais wa Iran, Ismaily Haniya, kuna uwezekano mkubwa wanajeshi wa Israel kuwepo kwenye ardhi ya Iran kwa ajili ya maandalizi ya vita, ukiona Iran hawezi rusha ndege mpaka Israel labda makombora ila Israel anaweza rusha makombora na ndege kushambulia Iran.
MyunaniWew ni mwarabu?
Wewe ni myahudi?Wew ni mwarabu?
Watu tunasahau au ni mahaba ...Iran c majuzi tuh alimponda Israel missiles za kutosha jamaa kakaaa kimya ndio juzi wamejibu kwa kumuua huyo kiongoz wa hamasKweli waarabu akili zao ni ndogo, wanadhani watashinda Israel kwenye uwanja wa vita? Kuchukua tahadhali ni muhimu sana kwa ndege kuruka, ndege kuruka inaweza kufyatuliwa na kombora la Israel au Iran au Hezibolah. Kama kweli Israel ilihusika kwenye mauaji ya Rais wa Iran, Ismaily Haniya, kuna uwezekano mkubwa wanajeshi wa Israel kuwepo kwenye ardhi ya Iran kwa ajili ya maandalizi ya vita, ukiona Iran hawezi rusha ndege mpaka Israel labda makombora ila Israel anaweza rusha makombora na ndege kushambulia Iran.