Tetesi: Mashoga jijini Dar wajianda kutaja majina ya wateja wao; wamo vigogo wazito.

Tetesi: Mashoga jijini Dar wajianda kutaja majina ya wateja wao; wamo vigogo wazito.

Yajayo yana kila aina ya tabu
 
popcon ,,,,, waiter zungushaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa🍺🍺🍺🍺🍺🍺🍺🍻🍻🍻🍻🍻🍻🍻🍻🍻🍻🍻🍻🍻🍻🍻🍻🍻🍻🍻🍻🍻🍻🍻🍻🍻🍻🍻🍻
 
Wasalam, kuna taarifa kwamba baadhi ya mashoga wamedhamiria kutaja hadharani majina ya wanaume wanaotoka nao kimapenzi endapo watakamatwa na kuhojiwa. Inaelezwa kwamba wamo vigogo wazito kutoka secta binafsi, serikalini na baadhi ya taasisi za kidini.

Naona kama picha ndo linaanza zijajua mwisho tuendelee kuangalia.
Mungu Ajalie hilo litokee litasaidia sana kupunguza hili tatizo.
 
Wasalam, kuna taarifa kwamba baadhi ya mashoga wamedhamiria kutaja hadharani majina ya wanaume wanaotoka nao kimapenzi endapo watakamatwa na kuhojiwa. Inaelezwa kwamba wamo vigogo wazito kutoka secta binafsi, serikalini na baadhi ya taasisi za kidini.

Naona kama picha ndo linaanza zijajua mwisho tuendelee kuangalia.

wawataje na wenzao pia
 
Wanasiasa kazi kwenu sasa hapa mtindo wa kuchafuliwa. Heee
 
Wawataje tu , wataalamu wa ulozi usemaga hiko kitendo ni mmoja ya sharti pale utakapo mafanikio ya shughuli flani hasa ya kixxxxx . Wengi hawatanusurika
 
Wasalam, kuna taarifa kwamba baadhi ya mashoga wamedhamiria kutaja hadharani majina ya wanaume wanaotoka nao kimapenzi endapo watakamatwa na kuhojiwa. Inaelezwa kwamba wamo vigogo wazito kutoka secta binafsi, serikalini na baadhi ya taasisi za kidini.

Naona kama picha ndo linaanza zijajua mwisho tuendelee kuangalia.
Tuanze na hawa
tapatalk_1541403796596.jpg
tapatalk_1541403809084-1.jpg
 
Tena wajirekodi kabla ya kwenda kituo cha police tuwajue mapemaa maana wakiwatajia police kuna majina yatafichwa
 
Back
Top Bottom