Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,957
- 26,414
Hili zoezi la mwana Mfalme natabiri litasitishwa...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yajayo yanasikitishaYajayo yana kila aina ya tabu
MstaafuDaaaa inamaana ndugu yangu Manenepa wanaweza kumtaja???
Mungu Ajalie hilo litokee litasaidia sana kupunguza hili tatizo.Wasalam, kuna taarifa kwamba baadhi ya mashoga wamedhamiria kutaja hadharani majina ya wanaume wanaotoka nao kimapenzi endapo watakamatwa na kuhojiwa. Inaelezwa kwamba wamo vigogo wazito kutoka secta binafsi, serikalini na baadhi ya taasisi za kidini.
Naona kama picha ndo linaanza zijajua mwisho tuendelee kuangalia.
Wasalam, kuna taarifa kwamba baadhi ya mashoga wamedhamiria kutaja hadharani majina ya wanaume wanaotoka nao kimapenzi endapo watakamatwa na kuhojiwa. Inaelezwa kwamba wamo vigogo wazito kutoka secta binafsi, serikalini na baadhi ya taasisi za kidini.
Naona kama picha ndo linaanza zijajua mwisho tuendelee kuangalia.
Wawataje wafukuze wanaowadhamini?Wawateja tu ili tuone kama tuko serious na hii vita ya mashoga.
Tuanze na hawaWasalam, kuna taarifa kwamba baadhi ya mashoga wamedhamiria kutaja hadharani majina ya wanaume wanaotoka nao kimapenzi endapo watakamatwa na kuhojiwa. Inaelezwa kwamba wamo vigogo wazito kutoka secta binafsi, serikalini na baadhi ya taasisi za kidini.
Naona kama picha ndo linaanza zijajua mwisho tuendelee kuangalia.
Nadhani ni ile miti mikubwa ya mitiki inayovunwa hapa kilombero na kupasuliwa mbao, kama una hasira nikimbizeVigogo Ndiyo Nani Hao
Nimecheka sana
Halafu wakishawataja???
Nadhani watashitakiwa kwa kosa la kuzibua mitalo bila kibaliNimecheka sana