Tetesi: Mashoga jijini Dar wajianda kutaja majina ya wateja wao; wamo vigogo wazito.

Tetesi: Mashoga jijini Dar wajianda kutaja majina ya wateja wao; wamo vigogo wazito.

Afe shoga afe konki konki nkonki lazma tumalize hii kitu
 
Tarajieni clip za ajabu toka uhamishoni Mombasa
 
Wasalam, kuna taarifa kwamba baadhi ya mashoga wamedhamiria kutaja hadharani majina ya wanaume wanaotoka nao kimapenzi endapo watakamatwa na kuhojiwa. Inaelezwa kwamba wamo vigogo wazito kutoka secta binafsi, serikalini na baadhi ya taasisi za kidini.

Naona kama picha ndo linaanza zijajua mwisho tuendelee kuangalia.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanasema hivyo baada ya serikali kukanusha kumtuma pimbi.
Na kupata backup ya wazungu.....
 
Hii vita ilishashindikana hadi uarabuni sembuse TZ.
 
waondoke wahame kabisaa hatutaki kuwaona vinginevyo waache kabisa tabia hiyo, wabadilike mara moja
 
Back
Top Bottom