Tetesi: Mashoga jijini Dar wajianda kutaja majina ya wateja wao; wamo vigogo wazito.

Yajayo yana kila aina ya tabu
 
popcon ,,,,, waiter zungushaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa🍺🍺🍺🍺🍺🍺🍺🍻🍻🍻🍻🍻🍻🍻🍻🍻🍻🍻🍻🍻🍻🍻🍻🍻🍻🍻🍻🍻🍻🍻🍻🍻🍻🍻🍻
 
Mungu Ajalie hilo litokee litasaidia sana kupunguza hili tatizo.
 

wawataje na wenzao pia
 
Wanasiasa kazi kwenu sasa hapa mtindo wa kuchafuliwa. Heee
 
Wawataje tu , wataalamu wa ulozi usemaga hiko kitendo ni mmoja ya sharti pale utakapo mafanikio ya shughuli flani hasa ya kixxxxx . Wengi hawatanusurika
 
Tuanze na hawa
 
Tena wajirekodi kabla ya kwenda kituo cha police tuwajue mapemaa maana wakiwatajia police kuna majina yatafichwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…