Tetesi: Mashoga jijini Dar wajianda kutaja majina ya wateja wao; wamo vigogo wazito.

Afe shoga afe konki konki nkonki lazma tumalize hii kitu
 
Tarajieni clip za ajabu toka uhamishoni Mombasa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanasema hivyo baada ya serikali kukanusha kumtuma pimbi.
Na kupata backup ya wazungu.....
 
Hii vita ilishashindikana hadi uarabuni sembuse TZ.
 
waondoke wahame kabisaa hatutaki kuwaona vinginevyo waache kabisa tabia hiyo, wabadilike mara moja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…