Mashoga (Kaka Poa) wanavunja ndoa za watu: Dada zetu inabidi mpambanie ndoa zenu

Hata sichukii rafk kila mtu na starehe yake kwa kweliiπŸ˜… ina maana ww hujawaona utamu wa huko?
Hatari mkuu, achana na hizo mambo, yaani kabisa unajiachia kusema ni tamu πŸ™„πŸ™„

Astaqfirllah 🀲🏽
 
Magomeni gani hio au mapipa? Nna mwaka naishi magomeni siyaoni hayo mavitu
Wanajisemea kuchafua maeneo ya watu, sasa kila mahali gays wapo, na huwezi tambua kwa macho, na huyo aliyesema atakuwa mdau kwa kweli, maana amejuaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…