Mashoto Maarufu Duniani

Mashoto Maarufu Duniani

Amavubi

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2010
Posts
30,156
Reaction score
13,258
Screen-Shot-2017-12-13-at-2.05.21-PM-660x400.png

Kwenye baadhi ya familia za Kitanzania Mtoto akionekana kutumia mkono wa kushoto huwa anakatazwa na Wazazi ambao wanaamini mkono wa kulia ndio sahihi kutumika kwenye kuandika na matumizi mengine mbalimbali.

Sasa leo nakukutanisha na Watu 10 maarufu duniani ambao wanatumia mkono wa kushoto kuandika na kuufanya kuwa mkono mkuu kama wengine wanavyoufanya wa kulia.

  1. BARACK OBAMA: Ni Rais wa zamani wa Marekani Barack Obama anatumia mkono wa kushoto pia Bill Clinton nae.
aaaaaa11111.jpg

2. BILL CLINTON: Tajiri namba moja wa Dunia.

123-biligate.jpg

3. OPRAH WINFREY: Mmoja wa Watangazaji Matajiri wa TV

Oprah-Winfrey-2.png

4. EMINEM – MwanaHiphop wa siku nyingi

1111111111111111111111111111.jpg

5. JUSTIN BIEBER– Mwimbaji staa mzaliwa wa Canada

11111111111111111111111111111v.jpg

6. RAFAEL NADAL – Mcheza Tennis maarufu.

12121212.jpg


7. LIONEL MESSI – Staa wa soka anaeichezea FC BARCELONA.

mesi-950x713.jpg

8. ANGELINA JOLIE – Mwigizaji staa kutoka Hollywood

asada.jpg

9. LADY GAGA – Mwimbaji mwingine staa

12134.jpg


10. MANNY PACQUIAO – Bondia
pacquia.jpg


Watu 10 maarufu wanaotumia zaidi mkono wa kushoto – millardayo.com
 
Back
Top Bottom