Antonio de Guzman
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 7,090
- 13,511
Dinho siyo kushotoHeheheee....hivi albert Einstein alikuwa anatumia mkono gani? Vp kuhusu peel neimar na maradona bila kumsahau Dinho?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dinho siyo kushotoHeheheee....hivi albert Einstein alikuwa anatumia mkono gani? Vp kuhusu peel neimar na maradona bila kumsahau Dinho?
Hukumbuki kuniona wapi mkuu? Primary,Secondary,High School,Varsity au kazini? Tena sio mkono tuu hadi mguu ni left.Pia hata mimi simkumbuki mtu mwenye jina hili ambaye nishakutana naye kwenye academic arena...Mark sikumbuki kukuona ukiwa unatumia mkono wa kushoto
weka picha ya messi akiwa anaandika kama vile kusaini mikataba
Jisahihishe kwanza, sio Bill Clinton, ni Bill Gate![]()
Kwenye baadhi ya familia za Kitanzania Mtoto akionekana kutumia mkono wa kushoto huwa anakatazwa na Wazazi ambao wanaamini mkono wa kulia ndio sahihi kutumika kwenye kuandika na matumizi mengine mbalimbali.
Sasa leo nakukutanisha na Watu 10 maarufu duniani ambao wanatumia mkono wa kushoto kuandika na kuufanya kuwa mkono mkuu kama wengine wanavyoufanya wa kulia.
- BARACK OBAMA: Ni Rais wa zamani wa Marekani Barack Obama anatumia mkono wa kushoto pia Bill Clinton nae.
![]()
2. BILL CLINTON: Tajiri namba moja wa Dunia.
![]()
3. OPRAH WINFREY: Mmoja wa Watangazaji Matajiri wa TV
![]()
4. EMINEM – MwanaHiphop wa siku nyingi
![]()
5. JUSTIN BIEBER– Mwimbaji staa mzaliwa wa Canada
![]()
6. RAFAEL NADAL – Mcheza Tennis maarufu.
![]()
7. LIONEL MESSI – Staa wa soka anaeichezea FC BARCELONA.
![]()
8. ANGELINA JOLIE – Mwigizaji staa kutoka Hollywood
![]()
9. LADY GAGA – Mwimbaji mwingine staa
![]()
10. MANNY PACQUIAO – Bondia
![]()
Watu 10 maarufu wanaotumia zaidi mkono wa kushoto – millardayo.com
Mbona mimi hukuniorodhesha?![]()
Kwenye baadhi ya familia za Kitanzania Mtoto akionekana kutumia mkono wa kushoto huwa anakatazwa na Wazazi ambao wanaamini mkono wa kulia ndio sahihi kutumika kwenye kuandika na matumizi mengine mbalimbali.
Sasa leo nakukutanisha na Watu 10 maarufu duniani ambao wanatumia mkono wa kushoto kuandika na kuufanya kuwa mkono mkuu kama wengine wanavyoufanya wa kulia.
- BARACK OBAMA: Ni Rais wa zamani wa Marekani Barack Obama anatumia mkono wa kushoto pia Bill Clinton nae.
![]()
2. BILL CLINTON: Tajiri namba moja wa Dunia.
![]()
3. OPRAH WINFREY: Mmoja wa Watangazaji Matajiri wa TV
![]()
4. EMINEM – MwanaHiphop wa siku nyingi
![]()
5. JUSTIN BIEBER– Mwimbaji staa mzaliwa wa Canada
![]()
6. RAFAEL NADAL – Mcheza Tennis maarufu.
![]()
7. LIONEL MESSI – Staa wa soka anaeichezea FC BARCELONA.
![]()
8. ANGELINA JOLIE – Mwigizaji staa kutoka Hollywood
![]()
9. LADY GAGA – Mwimbaji mwingine staa
![]()
10. MANNY PACQUIAO – Bondia
![]()
Watu 10 maarufu wanaotumia zaidi mkono wa kushoto – millardayo.com
August 13 ni siku maalumu kwa ajili ya watu wanaotumia mkono wa kushoto nikiwemo mimi.
Mkuu kuna mtu mmoja namfahamu anatumia mashoto ni bwege sijapata kuona!utakua na kipaji fulani
Kwenye lectures za Mateng'eHukumbuki kuniona wapi mkuu? Primary,Secondary,High School,Varsity au kazini? Tena sio mkono tuu hadi mguu ni left.Pia hata mimi simkumbuki mtu mwenye jina hili ambaye nishakutana naye kwenye academic arena...
Kwenye lectures za Mateng'eHukumbuki kuniona wapi mkuu? Primary,Secondary,High School,Varsity au kazini? Tena sio mkono tuu hadi mguu ni left.Pia hata mimi simkumbuki mtu mwenye jina hili ambaye nishakutana naye kwenye academic arena...
Damn! Basi siendeleii[emoji13]Kwenye lectures za Mateng'e
Uko vizuri mkuu...hiyo ni 2007to 2010! Ila njoo na Verified ID bhana[emoji13]Kwenye lectures za Mateng'e