Mashtaka ya Ugaidi: Shujaa wa 'Hotel Rwanda', Paul Rusesabagina akutwa na hatia. Ahukumiwa kifungo cha miaka 25

Ahsante kwa ku copy na ku paste! Bila kufanys utafiti kujua ukweli kuhusu huyu jamaa.

View attachment 1947655

View attachment 1947656
Pole sana kwa kuhangaika sana kumsafisha PAKA kwa propaganda mfu alizochapisha na labda kuwagawia mwenyewe.
PAKA ametapakaa DAMU ya hata ya waliowahi kuwa washikaji wake. Ili kutisha na kujihami, anaandama na kusakama kila mtu hata wanaojitokeza kugombea urais. Hataki kabisa kusikia mawazo tofauti/mbadala kutoka kwa yeyote. Ni dhalimu asie na soni kabisa.
PAKA ndie alikuwa chanzo cha balaa ya mauaji ya kimbari , uchunguzi umeonyesha kuwa ndie alifyatua kombora lililoangusha ndege iliyokuwa imembeba Rais Habyarimana. Wahutu nao kwa chuki walizo kuwa nazo kati yao kwa muda mrefu wakainuka kulipa kisasi.
 
Hivi Kagame uwezo was kuwatafuta maadui zake na kuwauwa ama kuwadeport Rwanda anaupata wapi wakati mwenzake hayati hakuwa na uwezo hata wa kumkamata adui yake aliyeko Isibania

Rusesabagina alilubuniwa na kukamatwa kizembe sana!! Yaani MTU anajiingiza kwenye harakati za kisiasa akiwa uhamishoni - badala ya kuendelea kubaki Merikani ambako angekuwa na uhakika wa usalama wake dhidi ya majasusi wa PK, yeye anakwenda kufanya matanuzi Dubai ambako ni just a stone throw from Afrika Continent specifically Rwanda, yaani hakushtuka kwamba maafisa wa usalama wa Serikali ya Kagame ni rahisi ku-jipenyeza Dubai na kufanya mambo yao bila ya kushtukiwa - Rusesabagina wala hilo hakulifikiria wala hakulishtukia!! - kaletewa a private jet na kulubuniwa kuipanda without questions asked, kapanda tu kama zuzu akiwa na imani kwamba anakwenda sijui Central Africa kukutana na wapinzani/rebels wenzake - kichekesho kabisa!

Mambo yenyewe kama ndio kirahisi vile basi PK atawatia mbaroni maadui wake wote in no time, ndio maana PK alipo hojiwa imekuwaje Rusesabagina akajikuta anatuwa kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa mjini Kigali - PK simply smiled na kusema alijileta mwenyewe!!!
 
Nyie washenzi tu na uongo wenu.
Ngoja zamu yenu ifike tufunge boda mchakazwe vizuri.
 
Africa Mashariki ina bahati mbaya sana ya kuwa na madikteta wengi
 
ila jamaa nae kiazi sana kwanini ajiingize kwenye siasa da ila watu wa usalama nyoka sana nasikia rafiki yake wa kalibu ndio alimuuza walijua wanaenda burundi akashangaa ndege imetua rwanda
Snitches get stitches
 
ila jamaa nae kiazi sana kwanini ajiingize kwenye siasa da ila watu wa usalama nyoka sana nasikia rafiki yake wa kalibu ndio alimuuza walijua wanaenda burundi akashangaa ndege imetua rwanda
Snitches get stitches
 
Nasikia mshakaji alipata umaarufu wa kwa kuokoa maisha ya wengi kwenye hotel, lakini cha ajabu amekuja kuwa muuaji tena yani binadamu hawatabiliki
 
Yaani anajiingiza kwny Vita huku hajui mbinu za kiinteligensia,hivi kwa umaskini ilionao Burundi Ni kanisa gani linaweza ku afford kumtumia private jet huyo jamaa ya kumpeleka Burundi?
Swali zuri sana! Serkali yenyewe uwezo huwo haina,sasa mchungaji atawezaje?
 
wewe unaesema kabambikiwa unatakakusema hata speech zake huko youtube hujazisikia?hujui kama alikua kiongozi wa kundi la waasi la FLN?kwanza huyo ni muhaini alitakiwa hukumu ya kifo,anabahati sana.
 
Rusesabagina alilewa sifa za kujibambikia,na akafikiri anaweza kuingia rwanda kwa nguvu,sasa kagonga mwamba pole zake
 
FBI na ubelgiji wapi na wapi ndugu???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…