Mashuhuda waliohamia Msomera kutoka Ngorongoro wafunguka

Mashuhuda waliohamia Msomera kutoka Ngorongoro wafunguka

Ng'ombe watayabadili hayo mazingira soon. Kama watafuga kisasa ni SAWA.
Wadau wa ufugaji na wana harakati wajitokeze sasa haraka kuwafundisha namna ya kufuga kisasa ili kuokoa madhara
 
Tangu zoezi la kuhamisha watu walioamua kuhama kwa hiyari kutoka Hifadhi ya Ngorongoro kuhamia msomera kuanza na kuendelea kwa Wengi wa wananchi hao wameamua kutoa ushuhuda wa namna ambavyo maisha yao mapya ya Msomera yalivyo bora na salama kulinganisha na walipoluwa wanaishi hifadhini walipokuwa wakibanwa na sheria za uhifadhi.

kwa Ujumla kuna tofauti kubwa kati ya hapa Msomera na Ngorongoro, kwenye swala la malisho ,swala la malisho Ngorongoro ng'ombe wanafuata malisho zaidi ya kilometa kumi(10KM) kwa siku, kwahiyo unakuta ng'ombe kama muda huu wamekuja kupumzika kwa sababu wameshiba majani yapo karibu hapa , Tulipofika hapa Baada ya siku mbili ng'ombe kupumzika,tukaenda kuogesha kwa sababu hiyo inasaidia ng'ombe kupata ulinzi ,ukimwogesha umemuepisha na magonjwa mengi , Serikali tayari imesha tupa madawa tumewaogesha kwahiyo ng'ombe wako salama " Anasema Luka tyamasi mwananchi aliyehama kwa hiyari kutoka NGORONGORO kuhamia Msomera

Zaidi angalia video hii

View attachment 2312673
Propaganda zinasaidia sana!! Hongereni!!
 
Hakika tunaishuhudia dhamira njema Sana ya serikali ya Rais wetu Mama #Samia Suluhu Hassan, Sio tu malisho lakini jamani Ngorongoro hakukua hata na sehemu ya kuhifadhiana wapendwa Wao mauti yakiwakua, lakini hata maduka hayakuwepo, sehemu nyingiii tofauti na Kijiji Cha Endureni walifuata bidhaa Karatu tena kwa mguu ni Km na Km, Ndo maana napendekezà Kijiji Cha Msomera kiitwe Samia Village.
Mkuu mpaka endulen unapajua.
 
Tangu zoezi la kuhamisha watu walioamua kuhama kwa hiyari kutoka Hifadhi ya Ngorongoro kuhamia msomera kuanza na kuendelea kwa Wengi wa wananchi hao wameamua kutoa ushuhuda wa namna ambavyo maisha yao mapya ya Msomera yalivyo bora na salama kulinganisha na walipoluwa wanaishi hifadhini walipokuwa wakibanwa na sheria za uhifadhi.

kwa Ujumla kuna tofauti kubwa kati ya hapa Msomera na Ngorongoro, kwenye swala la malisho ,swala la malisho Ngorongoro ng'ombe wanafuata malisho zaidi ya kilometa kumi(10KM) kwa siku, kwahiyo unakuta ng'ombe kama muda huu wamekuja kupumzika kwa sababu wameshiba majani yapo karibu hapa , Tulipofika hapa Baada ya siku mbili ng'ombe kupumzika,tukaenda kuogesha kwa sababu hiyo inasaidia ng'ombe kupata ulinzi ,ukimwogesha umemuepisha na magonjwa mengi , Serikali tayari imesha tupa madawa tumewaogesha kwahiyo ng'ombe wako salama " Anasema Luka tyamasi mwananchi aliyehama kwa hiyari kutoka NGORONGORO kuhamia Msomera

Zaidi angalia video hii

View attachment 2312673
Ukitaka kuwajua watoa post maajent wa system. Anatoa post halafu anajijibu na kuwa main speaker! Polie we!
 
Tujipe miaka wataanza kufata malisho km 10 zingine. Shughuli za kibinadamu zina athiri mazingira
 
Lini watarecordiwa wananchi waseme madhara ya wizi wa kura yanavyowaingiza madarakani viongozo wa hovyo hovyo.?
 
Nani ameshawahi kuliona kaburi la mmasai?
Hawa jamaa wanaamini kifo NI mkosi.ikitokea mwenzao kafa Wana hama Hilo eneo
 
Tangu zoezi la kuhamisha watu walioamua kuhama kwa hiyari kutoka Hifadhi ya Ngorongoro kuhamia msomera kuanza na kuendelea kwa Wengi wa wananchi hao wameamua kutoa ushuhuda wa namna ambavyo maisha yao mapya ya Msomera yalivyo bora na salama kulinganisha na walipoluwa wanaishi hifadhini walipokuwa wakibanwa na sheria za uhifadhi.

kwa Ujumla kuna tofauti kubwa kati ya hapa Msomera na Ngorongoro, kwenye swala la malisho ,swala la malisho Ngorongoro ng'ombe wanafuata malisho zaidi ya kilometa kumi(10KM) kwa siku, kwahiyo unakuta ng'ombe kama muda huu wamekuja kupumzika kwa sababu wameshiba majani yapo karibu hapa , Tulipofika hapa Baada ya siku mbili ng'ombe kupumzika,tukaenda kuogesha kwa sababu hiyo inasaidia ng'ombe kupata ulinzi ,ukimwogesha umemuepisha na magonjwa mengi , Serikali tayari imesha tupa madawa tumewaogesha kwahiyo ng'ombe wako salama " Anasema Luka tyamasi mwananchi aliyehama kwa hiyari kutoka NGORONGORO kuhamia Msomera

Zaidi angalia video hii

View attachment 2312673
Hizo nyasi soon zitaisha then 10KM kama kawaida- na wasipoangalia migogoro na Wazigua ya kukiwa Mazao yao Shambani itakuwa motoo. Zamani kulikuwa na msemo Afe Munu afe Mkwavi!!- hii ni sababu ya mazao kuliwa na ngombe wa Wamasai(wakwavi)! Ishu ya Masai ni kutakiwa kufunzaa njia mbadala ya Ufugaji na sio kutembeza ngombe kwenda Malishoni na pia ishu sio kuhamishwa Ngorongoro- Mkoloni why aliwaacha??Why Wenyewe awakutaka ondoka wenyewe japo kuna wanyama wakali?? Ila nasikia Wenye dunia yao wamepiga stop Kuhamishwa so zoezi lipo njia panda
 
Tujipe miaka wataanza kufata malisho km 10 zingine. Shughuli za kibinadamu zina athiri mazingira
Serikali inatakiwa kuwapa mafunzo na msaada staiki waache kufuga kijima. Majani soon yataisha na watarudi kuleta migogoro na Wenyeji ambao ni wakulima. Pia lazima walitakiwa jua kuwa Ecolojia ya Handeni itabadilika na nini madhara yake kwa vizazi vijavyo vya Handen
 
8l9pk7o979l9ll7i7klmolkkkkolkl8l9lk8kliikokkkkmolkoolkkkkkkkkkkkkkukmkkkkkolllkkkk.7kklumklkkklmmmkimmkkkkkklklkoolkkmkik8klkk
 
Ni shuhuda au ni kibaraka? Madawa hayo kwa nini hayakuweza kutolewa huko Ngorongoro mpaka yasubiri watu walazimishwe kuhamia Msowera? Huo siyo msaada bali ni hongo kufunika ukatili wa serikali hii inayojiita ya 'awamu ya sita' inaofanyia wananchi wa Ngorongoro. Hivi leo wakisema watu wahamishwe Pemba kupisha wawekezaji wa uvuvi ingekubalika? Acheni kudanganya Wamasai wa watu. Uonevu wa kibaguzi ni haramu kwa kila mtu.
 
Back
Top Bottom