PendoLyimo
JF-Expert Member
- Sep 30, 2014
- 969
- 1,055
- Thread starter
-
- #21
Wadau wa ufugaji na wana harakati wajitokeze sasa haraka kuwafundisha namna ya kufuga kisasa ili kuokoa madharaNg'ombe watayabadili hayo mazingira soon. Kama watafuga kisasa ni SAWA.
Propaganda zinasaidia sana!! Hongereni!!Tangu zoezi la kuhamisha watu walioamua kuhama kwa hiyari kutoka Hifadhi ya Ngorongoro kuhamia msomera kuanza na kuendelea kwa Wengi wa wananchi hao wameamua kutoa ushuhuda wa namna ambavyo maisha yao mapya ya Msomera yalivyo bora na salama kulinganisha na walipoluwa wanaishi hifadhini walipokuwa wakibanwa na sheria za uhifadhi.
kwa Ujumla kuna tofauti kubwa kati ya hapa Msomera na Ngorongoro, kwenye swala la malisho ,swala la malisho Ngorongoro ng'ombe wanafuata malisho zaidi ya kilometa kumi(10KM) kwa siku, kwahiyo unakuta ng'ombe kama muda huu wamekuja kupumzika kwa sababu wameshiba majani yapo karibu hapa , Tulipofika hapa Baada ya siku mbili ng'ombe kupumzika,tukaenda kuogesha kwa sababu hiyo inasaidia ng'ombe kupata ulinzi ,ukimwogesha umemuepisha na magonjwa mengi , Serikali tayari imesha tupa madawa tumewaogesha kwahiyo ng'ombe wako salama " Anasema Luka tyamasi mwananchi aliyehama kwa hiyari kutoka NGORONGORO kuhamia Msomera
Zaidi angalia video hii
View attachment 2312673
Mkuu mpaka endulen unapajua.Hakika tunaishuhudia dhamira njema Sana ya serikali ya Rais wetu Mama #Samia Suluhu Hassan, Sio tu malisho lakini jamani Ngorongoro hakukua hata na sehemu ya kuhifadhiana wapendwa Wao mauti yakiwakua, lakini hata maduka hayakuwepo, sehemu nyingiii tofauti na Kijiji Cha Endureni walifuata bidhaa Karatu tena kwa mguu ni Km na Km, Ndo maana napendekezà Kijiji Cha Msomera kiitwe Samia Village.
Ukitaka kuwajua watoa post maajent wa system. Anatoa post halafu anajijibu na kuwa main speaker! Polie we!Tangu zoezi la kuhamisha watu walioamua kuhama kwa hiyari kutoka Hifadhi ya Ngorongoro kuhamia msomera kuanza na kuendelea kwa Wengi wa wananchi hao wameamua kutoa ushuhuda wa namna ambavyo maisha yao mapya ya Msomera yalivyo bora na salama kulinganisha na walipoluwa wanaishi hifadhini walipokuwa wakibanwa na sheria za uhifadhi.
kwa Ujumla kuna tofauti kubwa kati ya hapa Msomera na Ngorongoro, kwenye swala la malisho ,swala la malisho Ngorongoro ng'ombe wanafuata malisho zaidi ya kilometa kumi(10KM) kwa siku, kwahiyo unakuta ng'ombe kama muda huu wamekuja kupumzika kwa sababu wameshiba majani yapo karibu hapa , Tulipofika hapa Baada ya siku mbili ng'ombe kupumzika,tukaenda kuogesha kwa sababu hiyo inasaidia ng'ombe kupata ulinzi ,ukimwogesha umemuepisha na magonjwa mengi , Serikali tayari imesha tupa madawa tumewaogesha kwahiyo ng'ombe wako salama " Anasema Luka tyamasi mwananchi aliyehama kwa hiyari kutoka NGORONGORO kuhamia Msomera
Zaidi angalia video hii
View attachment 2312673
Tunaendelea kushuhudia dhamira njema ya Serikali kwa watu wake na uhifadhi
Wanaohusika kuwahamisha wawape elimu piaNg'ombe watayabadili hayo mazingira soon. Kama watafuga kisasa ni SAWA.
Mdada si bora ungeenda China ukauze mbunye kuliko unavyojaribuNimelipwa amani na upendo
Hizo nyasi soon zitaisha then 10KM kama kawaida- na wasipoangalia migogoro na Wazigua ya kukiwa Mazao yao Shambani itakuwa motoo. Zamani kulikuwa na msemo Afe Munu afe Mkwavi!!- hii ni sababu ya mazao kuliwa na ngombe wa Wamasai(wakwavi)! Ishu ya Masai ni kutakiwa kufunzaa njia mbadala ya Ufugaji na sio kutembeza ngombe kwenda Malishoni na pia ishu sio kuhamishwa Ngorongoro- Mkoloni why aliwaacha??Why Wenyewe awakutaka ondoka wenyewe japo kuna wanyama wakali?? Ila nasikia Wenye dunia yao wamepiga stop Kuhamishwa so zoezi lipo njia pandaTangu zoezi la kuhamisha watu walioamua kuhama kwa hiyari kutoka Hifadhi ya Ngorongoro kuhamia msomera kuanza na kuendelea kwa Wengi wa wananchi hao wameamua kutoa ushuhuda wa namna ambavyo maisha yao mapya ya Msomera yalivyo bora na salama kulinganisha na walipoluwa wanaishi hifadhini walipokuwa wakibanwa na sheria za uhifadhi.
kwa Ujumla kuna tofauti kubwa kati ya hapa Msomera na Ngorongoro, kwenye swala la malisho ,swala la malisho Ngorongoro ng'ombe wanafuata malisho zaidi ya kilometa kumi(10KM) kwa siku, kwahiyo unakuta ng'ombe kama muda huu wamekuja kupumzika kwa sababu wameshiba majani yapo karibu hapa , Tulipofika hapa Baada ya siku mbili ng'ombe kupumzika,tukaenda kuogesha kwa sababu hiyo inasaidia ng'ombe kupata ulinzi ,ukimwogesha umemuepisha na magonjwa mengi , Serikali tayari imesha tupa madawa tumewaogesha kwahiyo ng'ombe wako salama " Anasema Luka tyamasi mwananchi aliyehama kwa hiyari kutoka NGORONGORO kuhamia Msomera
Zaidi angalia video hii
View attachment 2312673
Serikali inatakiwa kuwapa mafunzo na msaada staiki waache kufuga kijima. Majani soon yataisha na watarudi kuleta migogoro na Wenyeji ambao ni wakulima. Pia lazima walitakiwa jua kuwa Ecolojia ya Handeni itabadilika na nini madhara yake kwa vizazi vijavyo vya HandenTujipe miaka wataanza kufata malisho km 10 zingine. Shughuli za kibinadamu zina athiri mazingira