Last emperor
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 10,351
- 9,855
Sijawahi ona hamnazo Kama yule jamaajikoni cha polisi kifutwe.
kiitwe kikosi cha kudhibiti chadema
angalia Yule polissi aliyejipeleka getini ubalozi na kibastola.
alitumia akili gani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijawahi ona hamnazo Kama yule jamaajikoni cha polisi kifutwe.
kiitwe kikosi cha kudhibiti chadema
angalia Yule polissi aliyejipeleka getini ubalozi na kibastola.
alitumia akili gani
Acha kutisha mtu wewe mlalahoi.Mambo ya dola unayaweka hadharani kwa faida ya nani?
Ukikamatwa utoe ushahidi wa kutosha kwa maelezo yako utalalamika unaonewa.
Kuwa na uhuru wa mitandao si sababu uwe unajua kuelezea kila kitu, ukimya nao ni busara.
Hii sentensi ilinichanganya lakini baada ya kusoma hii chini ndiyo nikaelewa.Naye Said Kiguta ambaye ni dereva wa gari aina ya Fuso anasema alikuwa anaelekea Posta, ghafla akaona gari yake inayumba ikabidi ashuke na aanze kukimbia.
“Mimi sina hili wala lile, naona gari zinageuza, nikashindwa kujiongeza nikawa naendelea na safari, ghafla gari likaanza kuyumba nikawa najiuliza imekuaje, ndiyo nikasikia mlio wa risasi, kwa hiyo ikanibidi nishuke nikimbie kwa sababu risasi ilipasua tairi ya gari yangu,” amesema.
Labda sababu ni hiiHuyu kama alikua gaidi au jambazi bado napata mashaka,kwanini alikua kindezi ndezi vile ilhali anajua kabisa anapambana tena kwa risasi,alafu sijawai ona gaidi anaacha raia wakiwa hai mbele yake.
Mirungi mzee babaHuyu View attachment 1907886jamaa sijui zilimruka,
Unafanyaje shambulio la namna ile huku unatembea katikati ya barabara?
Ilimradi liendeNawaza labda akili zilimruka mbona alikuwa anarusha risasi hewani badala alenge watu? Police nao shabaha hawana wakashindwa kulenga hata za miguu ili asaidie kwenye upelelezi naona walikuwa wanabahatisha ili tu risasi impate popote
Hawa wasomari bwanaKatika hali isiyotarajiwa mtu mmoja amezua taharuki katika eneo la Daraja la Selandar jirani na zilipo ofisi za Ubalozi wa Ufaransa jijini Dar es Salaam leo Jumatano Agosti 25, 2021...
ni kweli hali ingekuwa mbaya hasa ange lenga na raia ila hatupaswi kucheka bali kusikitika kwa hayo mapungufu yao maana ni hatari kwao na kwa raia pia ila naamini wapo askari weredi piaNa kama huyu jamaa angetulia trust me wasingekuwa askari wawili tuu... huwaaa nacheka sana polis wanapojimwambafy kuwaa wapo tayar kwa lolote askari hajawahi kwenda range kwa miaka kazaa anapga risasi had 5 ndo anapata target inatia uchungu sana
wewe ni kilaza wa kutupwaKwakweli askari wetu leo wameonyesha wanahitaji mafunzo tena[emoji19][emoji19].. poor retaliation
Kwakweli nimeumia sana na inawezekana askari wengi hufa kwenye matukio kama haya kwakuwa hawako fiti ..wanachoweza ni mikwara tu na kusamabaza maandamanoNa kama huyu jamaa angetulia trust me wasingekuwa askari wawili tuu... huwaaa nacheka sana polis wanapojimwambafy kuwaa wapo tayar kwa lolote askari hajawahi kwenda range kwa miaka kazaa anapga risasi had 5 ndo anapata target inatia uchungu sana
Unakaa nyuma ya keyboard baada ya kushiba dona lako na kuwaponda walio hatarisha uhai wako, kumbuka risasi sio panga hata mtu ambayo anamafunzo ya kawaida ya bastola, akikutime vizuri hata Commando anamalizwa.Na kama huyu jamaa angetulia trust me wasingekuwa askari wawili tuu... huwaaa nacheka sana polis wanapojimwambafy kuwaa wapo tayar kwa lolote askari hajawahi kwenda range kwa miaka kazaa anapga risasi had 5 ndo anapata target inatia uchungu sana
Yaan inafikirishaIlimradi liende
Mental illnessHuyu View attachment 1907886jamaa sijui zilimruka,
Unafanyaje shambulio la namna ile huku unatembea katikati ya barabara?
Ww wakikupa hata rungu utashinda kutumia. Kumbuka range unajiandaa, ila tukio kama Hilo hakuna maandalizi, unastukia puu hata risasi hujaungiza chemba, bro asikwambie mtu Kwa mazingira hayo ya kifoNa kama huyu jamaa angetulia trust me wasingekuwa askari wawili tuu... huwaaa nacheka sana polis wanapojimwambafy kuwaa wapo tayar kwa lolote askari hajawahi kwenda range kwa miaka kazaa anapga risasi had 5 ndo anapata target inatia uchungu sana