Mashujaa Day Kenya 2019

Mashujaa Day Kenya 2019

Una uhuru wa kuwa na maoni na mtazamo wako binafsi. Ila usilazimishe yawe ni maoni yangu. Alafu the joke is on you, na ukabila wako, hao niliowataja hapo awali sio wajaluo pekee yake, Kando na Pio Gama Pinto ambaye alikuwa mhindi, Kung'u Karumba na Bildad Kagia walikuwa wakikuyu. Wao na wengine, almaarufu kama Kapenguria Six, ndio walitupwa korokoroni na mabeberu, wakiwa pamoja na Jomo Kenyatta. Boss una chochote cha maana cha kuchangia au kazi ni kuingiza tu majungu kwenye historia?
Ukabila! hilo neno hatulijui, Nyerere alilikemea sana. Kenyata yeye alifanya tofauti matokeo yake mnachinjana kila uchaguzi unapo fika. Anyways wewe endelea kusherehekea mashujaa wako wa ki hindi. Peace up
 
Kamaliza ukabila na kutengeneza kabila moja kuu...ccm,
Sai imekua km wewe sio ccm unavuliwa uraia hta pia kuitwa shoga
Ukabila! hilo neno hatulijui, Nyerere alilikemea sana. Kenyata yeye alifanya tofauti matokeo yake mnachinjana kila uchaguzi unapo fika. Anyways wewe endelea kusherehekea mashujaa wako wa ki hindi. Peace up
 
Ukabila! hilo neno hatulijui, Nyerere alilikemea sana. Kenyata yeye alifanya tofauti matokeo yake mnachinjana kila uchaguzi unapo fika. Anyways wewe endelea kusherehekea mashujaa wako wa ki hindi. Peace up
Hebu soma uzi wote huu, mwanzo mwisho, uone kama kuna mtu yeyote mwingine ambaye ameibuka na hoja yeyote ile ya kikabila. Isipokuwa wewe na mtz mwenzako game over. Mara hutaki wakikuyu watajwe, waluo pia hutaki kuwasikia, sasa umeruka kwa wahindi. Nyerere angeona aibu, tena sana. Acha unafik na umama, kama haijakupendeza kuona wakenya wakiwakumbuka mashujaa wao, au labda comment ya mtu yeyote ule. Kuna kitu kinaitwa 'ignore and move on'. Sio unaruka ruka tu ovyo ovyo bila formular, kama mchuuza ngono ambaye amepandwa na nyege.
 
Back
Top Bottom