Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]punguza jazba mkuu.Hii ndo maana halisi ya kikosi kipana.
[emoji23][emoji23]Ndio maana Rage aliwaita Mbumbumbu!
Ha ha haHawa ndo wale wale wa mwaka jana,walijiita green warriors,mwaka huu wamejiita mashujaa waliogopa mtawashtukia
Siku zote kauli zao huendana na tukio. Kikosi kipana leo kimepata tafsiri mpya.Hiki kikosi mlipocheza na KMC mlimwaga misifa humu kwamba hii ndio maana ya kikosi kipana. Leo mmeona wachezaji mizigo
Halafu Kigoma utawaroga vipi?Muamla hauwezi kusoma kwa kwa wanajeshi.
Acha umbeaShadeeya njoo uku kuna habar njema
Hiyo inaitwa nitoleeSimba watapindua Meza, wana 2 za ugenini, mashujaa watakoma wakija mechi ya marudiano.
Kikosi ni kipana.
Kwa kugegedwaaa sawaaa hakuna kama Simba a k a NyauHakuna kama Simba wewe!![emoji16][emoji16][emoji16] View attachment 978292
😁😁😁😁Siku zote kauli zao huendana na tukio. Kikosi kipana leo kimepata tafsiri mpya.
Mbona leo Mashujaa wamewatoa kamasi na alikuwepo?[emoji123][emoji123][emoji123] View attachment 978307
😁😁😁*Simba kama Irene uwoya tuu kawakazia watu wazima kaolewa na dogo janja*
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu nyie mna kikosi kipana mnacheza hata Ligi 2 Zanzibar na bar according to hajjiHawa vijana wakikaa benchi wanalalamika, wakipewa nafasi ndio hivyo hawajitumi kabisa.
Simba ina mazingira yote ya kuwezesha kucheza mpira, umri wao bado mdogo.
Simba ya sasa haihitaji wachezaji kama hawa tuliowaona leo.
Wapelekwe hata kwa mkopo kwenye timu nyingine.
Ona Chama anaingia na kupiga faulo vizuri inayosababisha goli la pili.
Kichuya anakimbilia kupiga mpira wa faulo huku akijua kabisa mashuti yake yote hayalengi goli, kwanini hamuachii Kwasi.
Ivi huko mazoezini wanafanya nini ?
Mashuti kumi na moja yote yanatoka nje ?
Hawa vijana wameidhalilisha sana timu ya Simba leo. Yaanii pamoja na stahiki zao zote wanafungwa na wanakijiji ambao hata mshahara hawana. Wanacheza kwa kujitolea tu.
Ni aibu Kwao
😁😁😁😁Kwa
Kwa kugegedwaaa sawaaa hakuna kama Simba a k a Nyau