Mashujaa Watanzania wawili miongoni mwa waliotunukiwa medali ya Dag Hammarskjold

Mashujaa Watanzania wawili miongoni mwa waliotunukiwa medali ya Dag Hammarskjold

..hakuna jambo linanikera Tz kama kutokuwaheshimu mashujaa wetu waliotoa mchango wao ktk operation mbalimbali.

..nimetafuta habari za Luteni Kanali Kavalambi na Private Mbwana Daudi ktk vyombo vya habari vya Tz sikuziona popote.

..serikali ya Tz, na vyombo vyetu vya habari, walitakiwa kuwaheshimisha na kuwaenzi mashujaa wetu, na sio kusubiri waenziwe na Umoja wa mataifa.
 
Shukrani kwa mtandao wa JamiiForums ina ongoza kwa kuwaenzi hawa mashujaa wetu angalau kwa kuwataja na kuhabarisha umma mpana wa waTanzania kuhusu operesheni za ulinzi wa amani chini ya mwamvuli wa Umoja wa Mataifa kuwa kama nchi tumetoa gharama kubwa kupitia uhai wa hawa wawili waliotunikuwa nishani hii ilitukuka katika kuleta amani hapa duniani.

MONUSCO

UNITED NATIONS ORGANIZATION STABILIZATION MISSION IN THE DR CONGO

MILITARY MANDATE​

The United Nations Security Councly authorizes MONUSCO, in pursuit of the objectives described in paragraph 6 above, to take all necessary measures to perform the following tasks, bearing in mind that these are mutually reinforcing tasks:
In support of the authorities of the DRC, on the basis of information collection and analysis, and taking full account of the need to protect civilians and mitigate risk before, during and after any military operation, carry out targeted offensive operations through the Intervention Brigade in cooperation with the whole of MONUSCO, either unilaterally or jointly with the FARDC, in a robust, highly mobile and versatile manner and in strict compliance with international law, including international humanitarian law, and in accordance with the standing operating procedures applicable to persons who are captured or who surrender, and with the human rights due diligence policy on United Nations-support to non-United Nations forces (HRDDP), prevent the expansion of all armed groups, neutralize these groups, and disarm them in order to contribute to the objective of reducing the threat posed by armed groups to state authority and civilian security in eastern DRC and to make space for stabilization activities

Source : Military mandate
 

MAJUKUMU MAZITO YA VIKOSI VYA KULINDA AMANI CHINI YA UMOJA WA MATAIFA​

MONUSCO

UNITED NATIONS ORGANIZATION STABILIZATION MISSION IN THE DR CONGO


MANDATE​

The UN Security Council adopted, on December 18, 2020, the Resolution 2556 renewing MONUSCO's mandate for a year and, including, on an exceptional basis, its Intervention Brigade.

UN Mission’s new mandate
In its Resolution 2556 (2020), the Security Council decided to extend for one year, i.e. until 20 December 2021, the mandate of the United Nations Stabilization Mission in the Democratic Republic of Congo (MONUSCO) and also approved its gradual exit strategy.


MONUSCO will keep a maximum authorized strength of 14,000 military personnel, 660 military observers and staff officers, 591 police officers and 1,050 members of the formed police units.

The Council approved the deployment, on a temporary basis, of an additional 360 members of the formed police units, to replace the military personnel, as proposed by the Secretary-General in his report S / 2019/905.


The Council has assigned the following two “strategic priorities” to the Mission:

• Civilians’ protection;
• Support for the stabilization, the strengthening of public institutions and the major governance and security reforms.


These two priorities cover several aspects which the Council spells out in paragraph 29 of the Resolution as follows:

1. Protection of civilians

a) It should take all necessary measures to ensure rapid, dynamic and integrated effective protection of civilians under threat of physical violence in the provinces where the Mission is currently deployed, and in particular in the eastern part of the Democratic Republic of Congo, while retaining the necessary capacities to intervene elsewhere if the situation happens to deteriorate seriously. The priority strategy here is to: in consultation with local communities, deter and prevent all armed groups and local militias from committing violence against populations or by intervening to put an end to such acts by disarming them and by supporting or engaging local mediation initiatives to prevent further escalation of violence. The Mission pays particular attention to civilians gathered in internally displaced persons’ and refugees’ camps, to peaceful demonstrators, to humanitarian personnel and to human rights defenders;

b) It should maintain a preventive deployment as well as a mobile, flexible and robust presence, including by organizing active, foot and modernized patrols, in particular in high-risk areas;

c) It should work in collaboration with the Government of the Democratic Republic of Congo and with humanitarian workers to identify threats to civilians;

d) it should strengthen Mission’s interactions, including its contingents’ and police personnel’s interactions with civilian populations in order to increase awareness and understanding of its mandate;

e) It should carry out, in support of the authorities of the Democratic Republic of Congo, unilaterally or jointly with FARDC, targeted and robust offensives (...) with a view to neutralizing armed groups and helping to reduce the threat they pose to the State authority and civilians’ security (…);

(f) It should strengthen and support the judicial system of the Democratic Republic of Congo and conduct investigations into allegedly committed crimes in the context of the armed conflict in the country since 2002;

g) It should offer good offices, advice and support to the Government of the Democratic Republic of Congo with a view to promoting human rights, in particular civilians’ and political rights, fighting impunity (…) and promoting the restoration of lasting peace.


2. It should support the stabilization and strengthening of public institutions in the Democratic Republic of Congo
  • Stabilization
a) It should support the main reforms in governance and security sectors, with a view to endowing the State with functional security and justice institutions;

b) it should provide security and stabilization supports and adopt an approach that takes into account the risks of conflict throughout the Mission area;

c) It should provide technical assistance to the Government of the Democratic Republic of Congo to help consolidate an effective national structure which controls the main mining activities, in coordination with the Special Envoy of the Secretary-General for the Great Lakes Region.

  • Security Sector Reform
d) MONUSCO to offer its good offices as well as strategic and technical advice to the Democratic Republic of the Congo in order to:

1. To accelerate reforms, including the security sector reform by supporting the development of a common strategy as well as a clear and comprehensive reform plan comprehensive, with clear indicators and deadlines.

2. To encourage the Government of the Democratic Republic of Congo to put in place an inclusive security sector reform that guarantees security and justice for all;

3. To promote and facilitate reforms in the military, police, judicial and penitentiary sectors in order to strengthen accountability and efficiency in the judiciary and security sectors.
  • Disarmament, demobilization and reintegration
e) MONUSCO to offer its good offices, advice and support to the Government of the Democratic Republic of Congo, in particular in the North Kivu, South Kivu, and Ituri provinces, in close collaboration with other international partners. The objective pursued is to accelerate the disarmament, demobilization and reintegration processes of the Congolese and foreign combatants who are not suspected of committing genocide, war crimes, crimes against humanity and individuals’ human rights abuses and the return of those combatants to a peaceful civilian life;


f) The Mission to act, in coordination with civil society, donors and government officials, including local and provincial leaders, to support disarmament, demobilization and reintegration, in particular reintegration into civilian life;

g) To advise and assist the authorities of the Democratic Republic of Congo with regard to the disposal of the arms and ammunition seized from unarmed Congolese and foreign combatants;


h) Continue to collaborate with the Government of the Democratic Republic of Congo in the consolidation of the gains achieved by the action plan aimed at preventing and ending the recruitment and use of children by FARDC, and to accelerate its implementation, in particular those relating to aspects of the plan on sexual violence committed by the latter against children;

i) To proceed with dialogue with all parties in order to obtain their renewed commitment and further work to back action plans aimed at preventing and ending violations and violence against the children.


In this mandate, the Security Council resolution also invokes the issues pertaining to human rights and armed groups and notes that the elimination of the threat posed by those armed groups must be in line with the integrated regional strategy and a strong political commitment on the part of the Governments of the DRC, member states of the Southern African Development Community (SADC) and states of the Great Lakes Region, with a view to making the most of the positive regional dynamic” initiated in close coordination with MONUSCO and the Special Envoy of the Secretary-General for the Great Lakes.

In this resolution, the Security Council also associates with the mandate and recalls the independent strategic review and the conditions set out therein for a successful and gradual transition as well as responsible withdrawal by MONUSCO; the planned withdrawals from Kasai in 2021, and gradually from Tanganyika in 2022, and the gradual reinforcement of MONUSCO's presence in the three provinces where open conflicts persist.
The full text of the UN Security Council resolution 2556 (2020) for MONUSCO is available here.
 
Nilivyoona heading nikasema natumaini ni askari.
 
Dag Hammarskjöld (R.I.P.) alikuwa ni raia wa Sweden mwana uchumi pia mwanadiplomasia aliyehudumu katika nafasi ya Katibu Mkuu wa Umoja Mataifa tokea 1953-1961.

Alifariki kwa ajali ya Ndege Mwaka 1961 huko Ndola Zambia.

Kuna Uwanja wa Mpira pia ulipewa jina lake , Taifa Stars ilishawahi kukichafua kwenye uwanja huo mwaka 1979, mechi ya kwanza Dar tuliwapiga Zambia KK eleven 1-0 Peter Tiino akiweka kambani.
Mechi ya marudiano tulitoka 1-1 kwao na kufuzu Afcon mwaka 1980
Enzi za kina Jela Mtagwa shujaa asiyeimbwa .
 
Ni Urusi tu ambako hadi majenerali wanauwawa kwenye frontline. Commanders kama Batallion Commander, Brigade commander au Division commander huwa hawakai msitali wa mbele kiasi cha kuweza kuuwawa. Kwa huyu inawezekana yalikuwa ni mashambulizi (ambush) dhidi ya msafara wake wa kawaida katika kukagua vikosi au ni uvamizi wa ofisi za Makao makuu ya kikosi chake lakini siyo direct combat encounter.
Commander ndiye anaongoza kikosi, kwa hiyo pakitokea shambulio yeye huwa ni rahisi sana kufikiwa.
Kama mna kumbukumbu, siku jeshi kubwa diniani walipomaliza operation Afghanistan, Major General Chris Donahue wa jeshi la anga US aliyekuwa akiongoza jeshi kule ndiye alipanda wa mwisho ktk ndege ya mwisho kuondoka. Imagine wale Taleban wangekuwa na sniper mzuri yule General alikuwa ktk risk kubwa sana kutunguliwa.
 
Commander ndiye anaongoza kikosi, kwa hiyo pakitokea shambulio yeye huwa ni rahisi sana kufikiwa.
Kama mna kumbukumbu, siku jeshi kubwa diniani walipomaliza operation Afghanistan, Major General Chris Donahue wa jeshi la anga US aliyekuwa akiongoza jeshi kule ndiye alipanda wa mwisho ktk ndege ya mwisho kuondoka. Imagine wale Taleban wangekuwa na sniper mzuri yule General alikuwa ktk risk kubwa sana kutunguliwa.
Operations za kivita haziendi hivyo; hata hiyo ndege ya Afghanstani unasema yeye ndiye aliyekuwa wa mwisho kupanda ndege, siyo wa kwanza kwa kupanda ndege; anasubiri hadi wafuasi wake wote wamepanda ndege. Ni vivyo pia kuwa katika msitali wa mapambano yeye ndiye atakuwa wa mwisho kuingia kwenye mapambano siyo kwa kwanza, atasubiri wafuasi wake wote wameingia kwenye mapambano ndipo na yeye anakwenda. Vita haipiganwi kwa kutanguliza kichwa bali hutanguliza mikono ambayo ndiyo imebeba silaha.

Katika vita kuna wapiganaji wanaoongozwa na Section Commander ambaye ni Koplo or Sajenti. Wote hao wanakuwa chini ya platuni moja inayoongozwa na Platoon Commander ambaye ni Luteni au Kapteni, baadaye platuni zote zinaunda Kombania ambayo inaongozwa na Company Commander ambaye anaweza kuwa Major au Luteni Kanali. Kombania ndizo zinazounda Batallion inayoongozwa na Luteni Kanali, au Kanali au hata Brigadier General. Batallion kadhaa zinaunda Brigades ambazo zikiwa nne au tano ndizo zinaenda kuwa Division. Sasa katika Battelfield organization, Koplo, Sajenti na wapiganaji ndio wako msitali wa mbele na kwa nchi kama Marekani hawa ndio wanakuwa trained sana katika kukabiliana na mapambano, ndiyo maana hata mishahara yao haitofautiani sana na ile ya maluteni. Halafu order flow inarudi nyuma step by step hadi kufikia kwa Kanali ambao huwa wanaangalia mapambano kwa mapana sana, siyo yale mapambano ya papo kwa papo tu.

Nadhani hata Tanzania tofauti ya mishahara kati ya sajenti na luteni siyo kubwa kwani wanajua kuwa sajenti ndiyo mwamba wa vita.
 
Dag Hammarskjöld (R.I.P.) alikuwa ni raia wa Sweden mwana uchumi pia mwanadiplomasia aliyehudumu katika nafasi ya Katibu Mkuu wa Umoja Mataifa tokea 1953-1961.

Alifariki kwa ajali ya Ndege Mwaka 1961 huko Ndola Zambia.

Kuna Uwanja wa Mpira pia ulipewa jina lake , Taifa Stars ilishawahi kukichafua kwenye uwanja huo mwaka 1979, mechi ya kwanza Dar tuliwapiga Zambia KK eleven 1-0 Peter Tiino akiweka kambani.
Mechi ya marudiano tulitoka 1-1 kwao na kufuzu Afcon mwaka 1980
Enzi za kina Jela Mtagwa shujaa asiyeimbwa .

..mechi ya kwanza ilichezwa Dsm na aliyefunga goli la Taifa Stars alikuwa Mohamed Rishard " Adolf. "

..mechi ya marudiano ilichezwa Ndola, Zambia, ktk uwanja wa Dag Hammarksjold, kama ulivyoeleza ktk post yako. Peter Tino alifunga goli la kusawazisha.

..Mohamed Rishard " Adolf " ni shujaa ambaye mchango wake umesahaulika ktk kuiwezesha Tanzania kwenda fainali za mataifa ya Afrika zilizochezwa Nigeria mwaka 1980.

..Na wakati huo kama sijakosea Africa Cup of Nations ilihusisha timu 8 tu, kwa hiyo utaona ni jinsi gani ilikuwa vigumu kufuzu.
 
31 May 2022
Beni, DR Congo

Siku ya Mlinda Amani Duniani || JWTZ waliopo Congo waadhimisha siku ya mlinda amani



Askari wa Kikosi Maalum cha Ulinzi wa Amani nchini DRC kutoka Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wameungana na askari kutoka mataifa mengine duniani kuadhimisha "Siku ya Mlinzi wa Amani Duniani" na kueleza shughuli wanazozifanya nchini DRC. Taarifa kwa hisani ya Kepteni Denisia Lihaya - JWTZ

Source : Azam TV
 
AMANI HAIPATIKANI KWA MTUTU, BALI KWA UPENDO : WALINDA AMANI DR CONGO



Source : UN HABARI
 
30 May 2022
Beni, Uvira
DR Congo

TANZBATT 9 walivyoadhimisha Siku ya Kimataifa ya Walinda Amani wa umoja wa Mataifa



#HabarizaUN #UmojawaMataifa #Kiswahili #UNNewsKiswahili Walinda Amani Duniani wameshauriwa kuongeza jitihada katika kuhakikisha amani katika mataifa yaliyoathirika na vita inapatikana.

Kauli hiyo imetolewa leo na Kamanda kikosi cha Tisa cha cha ulinzi wa Amani nchini Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo, DRC kutoka Tanzania.
Aidha, Kamanda Barakaeli J. Mlay ameongeza kuwa katika siku hii ya Mlinda Amani Duniani, ni vyema kumbuka kwa vitendo walinda Amani waliojitoa maisha yao hata kufa wakipigania Amani katika mataifa mbalimbali Duniani.

Naye Kamanda wa Brigedi ya Kujibu Mashambulizi toka kwa Adui (Force Intervassion Brigade) Brigedia Jenerali Stephano Mnkande amebainisha kuwa mbinu mbalimbali zinztumika kupambana na waasi nchini Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo huku akisisitiza kuwa Amani ya Congo ni Amani ya Afrika.

Kwa upande wake Kamanda wa Polisi wa Mji wa Beni, Principal Senior Commissioner Narcisse Muteba ameishukuru MONUSCO na kuongeza kuwa Monusco ipo kwa ajili ya ulinzi wa Raia wa Kongo kwa kushirikia na Jeshi la serikali ya Congo (FARDC) pamoja na Polisi wa nchi hiyo.

Source: UN HABARI
 
02 June 2022

TANZANIA YAENZI MASHUJAA WAKE WANAOTETEA AMANI KUPITIA UMOJA WA MATAIFA



Wakati dunia iliadhimisha Siku ya Mlinda Amani Duniani ilipofika Mei 28, Tanzania inaadhimisha leo Siku ya Mlinda Amani ikiwaenzi na kuwapongeza walinzi wa amani wanaojitolea kwa ajili ya usalama wa watu wote.

Studioni wamealikwa askari wasemaji kutoka Jeshi la Wananchi (JWTZ) Kanali Juma Katunge na Jeshi la Polisi SSP Eva Stesheni ambao wameshatumikia ulinzi wa amani katika nchi mbalimbali chini ya mwamvuli wa jeshi la Umoja wa Mataifa la Kulinda Amani.

Pia Azam TV imeongea moja kwa moja mubashara na wanajeshi wa Tanzania waliopo nje ya nchi katika operesheni za amani, ulinzi na usalama katika nchi walizopelekwa mfano waliopo TANZBATT 09 ya UN Monusco Military mandate DR Congo n.k .

Je, ni yapi mafunzo, matarajio, majukumu na manufaa ya kuwa mlinzi wa amani?
Source : Azam TV
 
02 June 2022
Dar es Salaam, Tanzania

Mgeni rasmi waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa Dr. Liberata Mulamula



Source : Millard Ayo
 
Back
Top Bottom