Mashushushu kazini kuua waandishi?

Mashushushu kazini kuua waandishi?

Kwa Ufupi Mimi Ni

Naishi Wapi - Naishi Dar Es Salaam Napenda Kuhama Hama Kila Baada Ya Miezi 3 Kwahiyo Sina Sehemu Maalumu Ambayo Ninaishi Zaidi Ya Miezi 3

Sasa Na Wewe Niambie Basi Mama Paroko Au Niandikie Katika Pm

Au Piga +255784 360204

Mtu anayependa kuhama hama kila baada ya miezi 3 ana sababu gani ya kufanya hivyo? Kama si kwamba kila anapohamia huwa anakwenda kuwachunguza watu fulani wanaoishi mahali hapo, tena akiwa "undercover" kabisa?

Kwa wale ambao mmetazama sinema za hawa watu ambao ni "spies" mnajua tabia zao...

Kwa mara nyingine tena, Shy anatuthibitishia yeye ni nani.

Ni maneno yake tu... mie nachambua!

./Mwana wa Haki!

LOL 🙂 🙂 🙂

😛
 
usalama wa taifa unadhuru raia wasio na makosa!
kama kosa basi kosa lao ni kufanya kazi yao vizuri tu.......
kweli JK si rais!! ni msafiri mashuhuri tu
 
Shy ni bonge la snitch!
Anajipendekeza tu usalamani huko!
Wao wenyewe hawamtaki na wanamsema!

Gooosh!
 
Shy ni bonge la snitch!
Anajipendekeza tu usalamani huko!
Wao wenyewe hawamtaki na wanamsema!

Gooosh!
ala inaonyesha mwfk unamjua huyu mtu kiundani, hata miye naona mwelekeo wake hauleweki, nimesoma mabandiko yake kadhaa ni mtu wa kuji contradict, thats why nikawa interested kumjua.
 
Shy ni bonge la snitch!
Anajipendekeza tu usalamani huko!
Wao wenyewe hawamtaki na wanamsema!

Gooosh!
UMEJUAJE KAMA HAWAMTAKI KAMA NAWE SI MMOJA WAO.............!
HALAFU NAWE UMEWAHI KUSEMA UNAJUA BALALI ALIPO....UMEJUAJE KAMA NAWE SI ONE OF THOSE....!
 
UMEJUAJE KAMA HAWAMTAKI KAMA NAWE SI MMOJA WAO.............!
HALAFU NAWE UMEWAHI KUSEMA UNAJUA BALALI ALIPO....UMEJUAJE KAMA NAWE SI ONE OF THOSE....!

Kasome ile thread niliyokuumbua hapa ili upate jibu la maswali yako yooote kabla hujaongea tena na huyo snitch mkubwa SHY!
 
Kasome ile thread niliyokuumbua hapa ili upate jibu la maswali yako yooote kabla hujaongea tena na huyo snitch mkubwa SHY!

YAANI MWKIKE SHY KASHAKUSHINDA SASA WAJA KWANGU......!
SWALI NI LAKO JIBU KWANZA.....UMEJUAJE KAMA HATAKIWI.....JIBU MREMBO.....1
 
YAANI MWKIKE SHY KASHAKUSHINDA SASA WAJA KWANGU......!
SWALI NI LAKO JIBU KWANZA.....UMEJUAJE KAMA HATAKIWI.....JIBU MREMBO.....1

nitolee lugha yako ya kipuuzi hapa! mambo ya kuitana warembo yametoka wapi tena. Kaa mbali na mimi na huyo Shy wako snitch mkubwa kabisa.

Koma kabisa kuniita mrembo hapa ... OKAY?
 
nitolee lugha yako ya kipuuzi hapa! mambo ya kuitana warembo yametoka wapi tena. Kaa mbali na mimi na huyo Shy wako snitch mkubwa kabisa.

Koma kabisa kuniita mrembo hapa ... OKAY?
MTOTO WA KIKE WA KIAFRIKA DAIMA NI MREMBO....!
MREMBO......JIBU ....UMEJUAJE KUWA HATAKIWI....!
(?)
 
MTOTO WA KIKE WA KIAFRIKA DAIMA NI MREMBO....!
MREMBO......JIBU ....UMEJUAJE KUWA HATAKIWI....!
(?)

Nimekwambia unitolee bangi zako hapa maana mimi sina urafiki na masnitch! Koma kabisa kuniita mrembo. Grrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr
 
Admn.. naomba kupendekeza mada hii iongezwe question mark kwa sababu ilivyokaa imekaa kama statement of fact...

Ni wazo tu...
 
Mwafrika Wa Kike Yule Ndugu Yako Wa Japani Hivi Ni Mzima ? Mpe Hi Sana Mwambie Mwezi Wa 9 Nitakuwa Huko Turudie Enzi Zetu Ingawa Ameshaolewa Mimi Sintojali
 
Mwanakijiji

Nimetoka Kuonana Na Baadhi Wa Wanausallama , Inasemekana Huko Kijana Anayeshutumiwa Ameshatolewa Dhamana Na Yuko Nje Sasa Hivi Sasa Tusikilize Ya Kubenea Anasemaje Kuhusu Hii Kesi Yake

Nitaenda Kazini Kwa Kubenea Usiku Huu Nikapata Habari Zaidi , Labda Kwenye Saa 8 Hivi Usiku Nitakuwa Nimesharudi Ntaandika Tena
 
Mwanakijiji

Nimetoka Kuonana Na Baadhi Wa Wanausallama , Inasemekana Huko Kijana Anayeshutumiwa Ameshatolewa Dhamana Na Yuko Nje Sasa Hivi Sasa Tusikilize Ya Kubenea Anasemaje Kuhusu Hii Kesi Yake

Nitaenda Kazini Kwa Kubenea Usiku Huu Nikapata Habari Zaidi , Labda Kwenye Saa 8 Hivi Usiku Nitakuwa Nimesharudi Ntaandika Tena

Naamini kabisa bwana mkubwa kama utatumia nafasi yako kutetea taifa na kuakikisha kuwa wakubwa wako hawatumii information mbalimbali unazozikusanya kunyanyasa watanzania kuna siku moja utasifiwa kwa hilo hila kinyume chake kuna siku watu watakupiga mawe kwa kuuza watanzania wenzio.
 
You know I'm born to lose, and gambling's for fools, but that's the way I like it baby I don't wanna live forever!
 
Interesting!!!!

Very!

Anyway, i bet no serious intelligence officer would do a lousy job like this of attacking someone's office and harm people, leaving them victims capable of identifying the attacker.

I expect a cook, or a cleaner in the lot to identify oneself as an intelligence officer. The fool who did the stinking job could end up being a cleaner as well.
 
SHY:

"Nimetoka Kuonana Na Baadhi Wa Wanausallama , Inasemekana Huko Kijana Anayeshutumiwa Ameshatolewa Dhamana Na Yuko Nje Sasa Hivi Sasa Tusikilize Ya Kubenea Anasemaje Kuhusu Hii Kesi Yake"

"Nitaenda Kazini Kwa Kubenea Usiku Huu Nikapata Habari Zaidi , Labda Kwenye Saa 8 Hivi Usiku Nitakuwa Nimesharudi Ntaandika Tena"

SHY:
"... AISHA SAID GHARIB aliefariki hapa uingereza..."
 
Back
Top Bottom