Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 14,113
- 17,645
Hapana. Hilo dau siliwezikwahiyo uko tayari kuitoa upewe kampani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana. Hilo dau siliwezikwahiyo uko tayari kuitoa upewe kampani?
Nazani umejionea mwenyeweSawa naupataje? Je wensite au ni app. Hataji kuingia...
Hawa nadhani ni usd 50 sina hakika kama kuna chini ya hapaMinimum price ni sh ngapi ?
Ingawa kwa sasa sijaitumia kitambo kama miezi miwili mitatu, nimebadili chimbo la kutafuta malighafi ila siwezi kukataa ubora wa hao viumbe wa hiyo siteTalking from experience?
wengi ni wa wapi ?Dah ni hatari... Ila wabongo siyo wengi.
Hebu tuwekee link tuone....Tinder, badoo, escorttz, mchepuko, na kama utakuwa unahitaji link za telegram nishtue tusaidiane mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Link za telegram au hizo site nyingine?Hebu tuwekee link tuone....
Mkuu umepotea njia?Hii mbinu nimeipenda sana, lakini sasa umesahau kusema kwamba una gari la gharama ambalo litawaepusha na kadhia za usafiri kipindi hiki. Kina dada changamkieni fursa, hii ofa ina marupurupu mengi kama ubunge wa jamhuri.
Chimbo wapi sasa hivi?Ingawa kwa sasa sijaitumia kitambo kama miezi miwili mitatu, nimebadili chimbo la kutafuta malighafi ila siwezi kukataa ubora wa hao viumbe wa hiyo site
Sent using Jamii Forums mobile app
Telegram weka tuone....
Mkuu sasa napoteaje njia wakati mimi ni mkazi mwenzako wa hapa JF ? Mimi nimependa tu jinsi ulivyo na huruma kwa hawa dada zetu, natumai watakutafuta wengi huko PM usijali.Mkuu umepotea njia?