Masikini anapenda sana ngono kuliko tajiri

ndiyo,
kwasababu muda mwingi kalala ndani na mkewe, na kazi kubwa wanayoifanya huko ndani ni ngono πŸ’
 
Haujafanya utafiti kuhusu matajiri na masikini.
Matajiri wanapenda ngono kuliko masikini, japo utabisha.
Masikini kutokana na kipato chake atakuwa na mwanamke mmoja au wawili maana hana uwezo wa kuwahudumia.
Tajiri anakuwa na wanawake wengi kwasababu ana uwezo wa kuwahudumia mfano. Nyumbani ana mke, akitoka akienda bar atakuwa na mwanamke, akitoka akienda safarini huko atakuwa na mwanamke, sehemu yoyote atakuwa na mwanamke kwasababu ya pesa zake.
Fanya utafiti
 
Mungu hajihusishi na kugawa mapepo ya ngono... Ninyi ndio mnafanya watu wasiamini uwepo wa Mungu. Mungu gani anagawa mapepo ya ngono kisha ufanye dhambi aje akuchome, huyo Mungu hayupo
Katika mtu mpumbavu wa mwisho huyo jamaa bongo dili ni zumbukuku ulimwengu hupo hukuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Utafiti wako sio sahihi sema tu wewe ni kwasbb ni masokini unaona na unaishi sanaa na masikini ila unge kua unaishi na matajiri ungegundua kwamba tajiri wanagharamikia sanaa ngono kwa ma millioni kiliko tajiri, wanajenga majumba makubwa kwa ajiri ya ngono hoteli za kifahari zinakaa kwa ajiri ya ngono, njoo huku kwa matajiri ndo utarudi na utafiti mgine.
 
Kwani kuna shida gani, uwezi kuwa na vyote. Una pesa ila show za kinyonge, sina pesa ila show za kibabe. Ngoma draw
 
]
Matajiri Wanaamini Masikini Ni Mtu Mwenye Muda Mwingi Amekaa Na Kubweteka Hivyo Basi Kupelekea Kuwa Mvivu.

Ila Ukweli Ni Kwamba Hao Watu (Masikini) Wanaongoza Kwa Upambanaji Haswa
[/QUOTE] Wanasema Sex is the most pleasurable experience known to humans.
 
Ngono anaweza kupenda mtu yeyote yule, haijalishi kipato, inakua kama tabia fulani.

Hata mtu awe busy kiasi gani au fukara kiasi gani kama anapenda ngono ataitafuta tu, ni huduma rahisi sana kupata.
Ngono ni hitaji la binadamu yoyote ila ikizidi ndiyo utapata neno umalaya au uasherati kwahiyo kila jambo lazima liwe na kiasi
Chakula ni hitaji la binadamu ila ikizidi linakuwa ulafi au umroho.
 
Tajiri kila sehemu ana mwanamke sijui kati masikini na tajiri nani anapenda ngono?
tajiri anaweza awe na mademu ata 20 but anagonga bao moja sekunde 20 kamaliza na saa zingine hagongi kabisaa, starehe yake ni kuonekana na mademu wazuri tu but maskini ni kupeleka πŸ”₯ truuu Asubuhi mpaka jioni na hana mpango wala wazo la kuonekana na mtu au kua na demu Mwingine πŸ’

Ndio maana tajiri anaweza kua na watoto wa2 makini akawanao 14πŸ’
 
Ukikutana na mwanamke masikini basi ngono ndio mtaji wake, atadanga mpaka ngozi ya mwili inapauka.

Sasa,hawa wa siku hizi mbona wote wanapenda! Basi wao wana umasikini wa ziada. Wa akili
 
Matokeo ya hiyo ngono ni idadi ya watu,Idadi ya watu wa China ni sawa na idadi ya bara zama la Africa hivyo hivyo kwa India je China ni maskini ndio maana wanazaana sana??

Idadi ya watu waliopo katika Nchi USA,England ,Japan,Italy,Germany,Mexico,France,Russia & Turkey ni kubwa kuliko Idadi ya Watu waliopo Tanzania na hizo Nchi watu wake ni Mtajiri kuliko Watanzania,je hizo Nchi watu wake ni maskini ndio maana wanazaana sana????

** umasikini sio sababu ya watu kufanya fanya ngono-maana takwimu zinakataa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…