Masikini anapenda sana ngono kuliko tajiri

Masikini anapenda sana ngono kuliko tajiri

Mtoa Mada Hajui Tofauti Kati Ya Jobless,maskini Na Tajiri.Mtoa Mada Anamzungumzia Jobless Na Sio Maskini.Pesa Ni Baraka, Maskini Wanapambana Sana Na Kazi Ngumu Akirud Usiku Kachoka Vibaya Analala,haimaanishi Maskini Ni Mtu Asiye Na Kazi Anayekaa Ndani Maskini Wanapambana Sana Kuzidi Tajiri Muda Mwingine Labda Milango Ya Utajira Bado Haijafunguka.Rekebisha Kidogo Sema Maskini Anatumia Sex Kama Relief Au Kama Starehe Maana Hana Pesa Ya Kufanya Starehe Nyingine.Kuhusu Suala La Maskini Na Kuzaliana Waswahili Husema Tajiri Na Mali Zake Maskini Na Watoto Wake.Kuna Jobless Sio Maskini Usikariri
 
Habari wakuu,

Husika na kichwa cha habari hapo juu,

Kautafiti kangu kasiko rasmi nilikofanya mi mwenyewe ni kuwa masikini anapenda sana ngono kuliko tajiri.

Masikini anapenda sana ngono kwakuwa muda mwingi amekuwa hana la kufanya yaani anakuwa yupoyupo tu.

Mara nyingi masikini anakuwa amepumzika hivyo mwili wake unakuwa na hamu ya ngono mara kwa mara.

Masikini wakati mwingi anakuwa hana mawazo mengi sana, mara nyingi hasumbui ubongo wake.

Huyu masikini anapenda ngono pia sababu huitumia kama faraja yaani anakuwa anajiburudisha maana hana pesa.

Hivyo huona kama sasa sina pesa, bora nijiburudishe na ngono, na huifanya sana sio kitoto yaani mnaelewa.

Kiumbe hiki masikini kinapenda sana mechi kali yaani ndio maana wake za matajiri wanakuwa wanakisaka sana.

Ukiangalia vijana wa kiume masikini ndio huwa na majimama na wanayapa mavituzi mpaka mashangazi yanachanganyikiwa.

Masikini ndio wanaongoza kwa kuzaa, yaani kiumbe hiki kikipiga tu goli lazima kifunge pamoja nakuwa halina pesa.

Mwanaume akiwa masikini ndo balaa na nusu yaani anawaza ngono Ile mbaya, akijifungia niapunyeto deile.

Ukikutana na mwanamke masikini basi ngono ndio mtaji wake, atadanga mpaka ngozi ya mwili inapauka.

Mwanamke huyohuyo masikini atazaa tutoto vingi sababu ya kupenda ngono.

Sasa usiombe mwanaume masikini akutane na kibinti cha shule yaani chapu mimba inanasia mazima.

Kwa upande wa wale matajirii wao mara nyingi wapo bize kusaka pesa, yaani wao ni bize haswa hawawazi ngono.

Matajiri bana wao wengi wao ngono wanaifanya kama ziada tu, yaani kujistarehesha sio ngono njaa.

Mawazo ya matajiri huwaza namna ya kufanikisha mipango yao ya kifedha, ndio maana wao kimoja tu wanalala.

Wengi wao walio matajiri akili zao huwa zinachoka, hivyo uchovu na ngono no vitu viwili tofauti kabisa.

Tajiri anaoa mke mzuri ila kumtimitizia haja zake za kingono hawezi, mke anatafuta masikini ampoze.

Ajabu ni kuwa tajiri hujiepulia pisi Kali lakini hawawezi kuzifikisha mlimani kwakuwa vichwa vinawaza pesa inapatikanaje.

Tajiri ngono imemshinda, yeye na pesa zake tu ngono ni ya msikini

🤗🤗🤗
 
Habari wakuu,

Husika na kichwa cha habari hapo juu,

Kautafiti kangu kasiko rasmi nilikofanya mi mwenyewe ni kuwa masikini anapenda sana ngono kuliko tajiri.

Masikini anapenda sana ngono kwakuwa muda mwingi amekuwa hana la kufanya yaani anakuwa yupoyupo tu.

Mara nyingi masikini anakuwa amepumzika hivyo mwili wake unakuwa na hamu ya ngono mara kwa mara.

Masikini wakati mwingi anakuwa hana mawazo mengi sana, mara nyingi hasumbui ubongo wake.

Huyu masikini anapenda ngono pia sababu huitumia kama faraja yaani anakuwa anajiburudisha maana hana pesa.

Hivyo huona kama sasa sina pesa, bora nijiburudishe na ngono, na huifanya sana sio kitoto yaani mnaelewa.

Kiumbe hiki masikini kinapenda sana mechi kali yaani ndio maana wake za matajiri wanakuwa wanakisaka sana.

Ukiangalia vijana wa kiume masikini ndio huwa na majimama na wanayapa mavituzi mpaka mashangazi yanachanganyikiwa.

Masikini ndio wanaongoza kwa kuzaa, yaani kiumbe hiki kikipiga tu goli lazima kifunge pamoja nakuwa halina pesa.

Mwanaume akiwa masikini ndo balaa na nusu yaani anawaza ngono Ile mbaya, akijifungia niapunyeto deile.

Ukikutana na mwanamke masikini basi ngono ndio mtaji wake, atadanga mpaka ngozi ya mwili inapauka.

Mwanamke huyohuyo masikini atazaa tutoto vingi sababu ya kupenda ngono.

Sasa usiombe mwanaume masikini akutane na kibinti cha shule yaani chapu mimba inanasia mazima.

Kwa upande wa wale matajirii wao mara nyingi wapo bize kusaka pesa, yaani wao ni bize haswa hawawazi ngono.

Matajiri bana wao wengi wao ngono wanaifanya kama ziada tu, yaani kujistarehesha sio ngono njaa.

Mawazo ya matajiri huwaza namna ya kufanikisha mipango yao ya kifedha, ndio maana wao kimoja tu wanalala.

Wengi wao walio matajiri akili zao huwa zinachoka, hivyo uchovu na ngono no vitu viwili tofauti kabisa.

Tajiri anaoa mke mzuri ila kumtimitizia haja zake za kingono hawezi, mke anatafuta masikini ampoze.

Ajabu ni kuwa tajiri hujiepulia pisi Kali lakini hawawezi kuzifikisha mlimani kwakuwa vichwa vinawaza pesa inapatikanaje.

Tajiri ngono imemshinda, yeye na pesa zake tu ngono ni ya msikini
Chai
 
Wewe naona unaongea kinyume wewe.Tena unaongea hisia zako hazina uhalisia.Matajiri wanapiga totoz kupita kawaida..SEMA hutakuja kuwaona kirahisi....
 
Riziki utoa Mungu katika wengi hao yupo mmoja atainua familia.
Kutoka ni juhudi na nia na sio kukaa darasani.
Sentence zako zinakinzana. Riziki anatoa mungu? Au kutoka ni juhudi na nia? Upo upande gani? Kama ni juhudi, kwanini huyu mzazi aaminibkuwa akizaa watoto wengi kuna mmoja atamkomboa? Kwa nini anabeti hivyo? Mkuu bado una mawazo ya kizamani sana. Siku hizi mtoto anahitaji mwongozo ili atoboe labda awe na kipaji na hapo ndio tunita kubeti. Kama hana kipaji basi anakuhitaji wewe mzazi umpe ABC sio za maneno ila la vitu vitakabyo mfanya nae aanze na kosonga
 
Sentence zako zinakinzana. Riziki anatoa mungu? Au kutoka ni juhudi na nia? Upo upande gani? Kama ni juhudi, kwanini huyu mzazi aaminibkuwa akizaa watoto wengi kuna mmoja atamkomboa? Kwa nini anabeti hivyo? Mkuu bado una mawazo ya kizamani sana. Siku hizi mtoto anahitaji mwongozo ili atoboe labda awe na kipaji na hapo ndio tunita kubeti. Kama hana kipaji basi anakuhitaji wewe mzazi umpe ABC sio za maneno ila la vitu vitakabyo mfanya nae aanze na kosonga
Mungu hakuletei pesa mezani anakupa nguvu na Nia ya kupambana.
Mapambano kidogo pesa zaidi.
 
Madam mbona vitu vidogo hv vinakuchanganya! Huwa hupewi vyote ukijaliwa Pesa unanyimwa maajabu kwenye migegedo, ukinyimwa Pesa unapewa maajabu ya kumsukuma makontena mazito mazito na mishangazi ya kikongo
[emoji38][emoji38]
 
Zaa watoto wengi wa kike weupe mjini ni mtaji tosha.
Mwanamke mweupe ni rahisi sana kutoboa mjini kuliko mwanamke msomi
 
Matajiri bana wao wengi wao ngono wanaifanya kama ziada tu, yaani kujistarehesha sio ngono njaa.

Hapa ndipo unapojua kuwa maskini ni mtu wa ovyo sana
 
Habari wakuu,

Husika na kichwa cha habari hapo juu,

Kautafiti kangu kasiko rasmi nilikofanya mi mwenyewe ni kuwa masikini anapenda sana ngono kuliko tajiri.

Masikini anapenda sana ngono kwakuwa muda mwingi amekuwa hana la kufanya yaani anakuwa yupoyupo tu.

Mara nyingi masikini anakuwa amepumzika hivyo mwili wake unakuwa na hamu ya ngono mara kwa mara.

Masikini wakati mwingi anakuwa hana mawazo mengi sana, mara nyingi hasumbui ubongo wake.

Huyu masikini anapenda ngono pia sababu huitumia kama faraja yaani anakuwa anajiburudisha maana hana pesa.

Hivyo huona kama sasa sina pesa, bora nijiburudishe na ngono, na huifanya sana sio kitoto yaani mnaelewa.

Kiumbe hiki masikini kinapenda sana mechi kali yaani ndio maana wake za matajiri wanakuwa wanakisaka sana.

Ukiangalia vijana wa kiume masikini ndio huwa na majimama na wanayapa mavituzi mpaka mashangazi yanachanganyikiwa.

Masikini ndio wanaongoza kwa kuzaa, yaani kiumbe hiki kikipiga tu goli lazima kifunge pamoja nakuwa halina pesa.

Mwanaume akiwa masikini ndo balaa na nusu yaani anawaza ngono Ile mbaya, akijifungia niapunyeto deile.

Ukikutana na mwanamke masikini basi ngono ndio mtaji wake, atadanga mpaka ngozi ya mwili inapauka.

Mwanamke huyohuyo masikini atazaa tutoto vingi sababu ya kupenda ngono.

Sasa usiombe mwanaume masikini akutane na kibinti cha shule yaani chapu mimba inanasia mazima.

Kwa upande wa wale matajirii wao mara nyingi wapo bize kusaka pesa, yaani wao ni bize haswa hawawazi ngono.

Matajiri bana wao wengi wao ngono wanaifanya kama ziada tu, yaani kujistarehesha sio ngono njaa.

Mawazo ya matajiri huwaza namna ya kufanikisha mipango yao ya kifedha, ndio maana wao kimoja tu wanalala.

Wengi wao walio matajiri akili zao huwa zinachoka, hivyo uchovu na ngono no vitu viwili tofauti kabisa.

Tajiri anaoa mke mzuri ila kumtimitizia haja zake za kingono hawezi, mke anatafuta masikini ampoze.

Ajabu ni kuwa tajiri hujiepulia pisi Kali lakini hawawezi kuzifikisha mlimani kwakuwa vichwa vinawaza pesa inapatikanaje.

Tajiri ngono imemshinda, yeye na pesa zake tu ngono ni ya msikini
Tajiri ana Plex library ina 55,000 movies. TV 10 nyumbani. Vitabu 10,000 kwenye bookshelf. Podcasts 4,000. DVD/Blurays 10,000. Tablets kama 30. Laptops 25.
Playstation. XBox.

Biashara katika miji mikubwa tofauti ya dunia.

Simu za lawyer kufuatilia kesi. Simu za accountant kufuatilia kodi.

Simu za waomba pesa na fadhila mbalimbali kuanzia wanasiasa wanaotaka michango ya kampeni mpaka viongozi wa kidini wanaotaka sadaka na michango ya ujenzi wa nyumba za ibada.

Simu za maofisa wa serikali wanaotafuta rushwa.

Simu za vijana waliohitimu vyuoni wanaotafuta ajira.

Simu za wasiojiweza wanaotafuta matibabu.

Simu za ndugu masikini wanaoomba ada za watoto shule na kodi za nyumba.

Simu za promotion za biashara za watu wakitangaza bidhaa zao.

Simu za matapeli wa Ki Nigeria wanaosema wao ma Prince wamerithi mamilioni ya dola wanahitaji ntu wa kuwasaidia kuyachota tu.

Simu za michango ya harusi ya marafiki ambao hawajaonana nao miaka 40 lakini leo wanaoa na wanajua wana hela, hivyo wamewakumbuka.

Simu za Watanzania wanaotafuta visa na nauli kwenda ughaibuni.

Simu za Watanzania walio ughaibuni wanaotaka kurudi Tanzania.

Simu za vikao vya familia vilivyowa promote vyeo vya familia matajiri kwa sababu ya hela zao.

Simu za vikao vya bar kwenda kuzungusha raundi ambazo kurudishiwa ni muhali.

Simu za misiba ya watu ambao undugu wao unahitaji darubini na family tree kadhaa zinazorudi nyuma zaidi ya Berlin Conference kuuona udugu.

Simu za michango ya team za michezo.

Simu za get together za watu wa shule ambao ulivyokuwa nao shule hata majina hukuwajua.

Simu za wauza magari wanaotaka kuuza magari zaidi.

Simu za bankers wanaotaka kuonesha investment mpya ya kutengeneza hela zaidi.

Simu za TRA.

Simu za daktari akikumbusha yearly checkup.

Simu za Saville Row zikikumbusha kuna kitambaa cha suti mpya kimetoka.

Simu za Real Estate Agents wakitangaza mijengo mipya sehemu za kishua inauzwa.

Zote zina compete na ngono hizo.
 
😂😂😂ila neno ngono limekaa kivibaya vibaya. Sema kufanya mapenzi bhana.

Hivi mtu anayekuwa busy na kazi anakosa hata muda wa kuwaza sex na kupeana utamu huyo unamtambuaje kama tajiri?? Huyo bado ni mpambanaji.

Matajiri wanapenda kutiana, wanakodi boat 🛥️ wananunua hata wanawake 20 wanazini tu juu ya bahari huko hawana wasiwasi kabisa. Yaani matajiri mwanamke mmoja hatoshi wanataka 10+
Yupi huyo tajiri
 
Utajiri ni nini? Umaskini ni nini? Mimi naona hata tunaowaita maskini kwa tafsiri za mitaani za kutomiliki mali za thamani sana na pesa nyingi..bado ni wapambanaji sana ila bado hawajatoboa..ila wavivu wasio fanya kazi ni sehem ya maskini labda ndio wanatabia izo..sio kila maskini ni mvivu na sio kila mwenye ukawasi ni mchapa kazi
 
Back
Top Bottom