Masikini Askofu Mwaikali, afukuzwa msibani Kiwira, msiba wa Rev Gehaz Malasusa, aaibu!

Masikini Askofu Mwaikali, afukuzwa msibani Kiwira, msiba wa Rev Gehaz Malasusa, aaibu!

masopakyindi

Platinum Member
Joined
Jul 5, 2011
Posts
18,207
Reaction score
13,839
1639752212783.png

Kama kuna wakati huyu Baba Askofu anapitia wakati mgumu ni huu sasa.
KAtika mazishi ya Rev Gehaz Maasusa, baba wa Askofu mwenziwe Dk Alex Malasusa, Askofu Mwaikali ilibidi aondolewe hapo msibai kwa hofu ya kutokea fujo.

Naambiwa hapo msibani palikuwa na amani ya hali ya juu, lakini askari na watu wa usalam walikuwa wengi kuhakikisha haliharibiki neno.

Ushauri kwa Askofu ni mmoja tu, ajishushe ili wengine wamwinue, au ajiuzulu Uaskofu.
Sasa n dhahiri, washauri wake kina Mch Mwambola wamempotosha .
 
View attachment 2047649
Kama kuna wakati huyu Baba Askofu anapitia wakati mgumu ni huu sasa.
KAtika mazishi ya Rev Gehaz Maasusa, baba wa Askofu mwenziwe Dk Alex Malasusa, Askofu Mwaikali ilibidi aondolewe hapo msibai kwa hofu ya kutokea fujo.

Naambiwa hapo msibani palikuwa na amani ya hali ya juu, lakini askari na watu wa usalam walikuwa wengi kuhakikisha haliharibiki neno.

Ushauri kwa Askofu ni mmoja tu, ajishushe ili wengine wamwinue, au ajiuzulu Uaskofu.
Sasa n dhahiri, washauri wake kina Mch Mwambola wamempotosha .
Umeongea nini hapa? Kwani imekuwaje?
 
Huyo wengine hatumjui,, ingekuwa bro gwajizo foshizo au mjomba mwamponga beibyy hapo kweli ningekoment!!
 
Umeandika kana kwamba Wote TU tunamjua uyo askofu[emoji848]

Umeandika kana kwamba Wote tunajua ayo mabifu yananyoendelea uko parokiani[emoji848]
Askofu Mwaikali ni Askofu wa KKKT Dayosisi ya Konde yenye makao makuu Tukuyu.
Askofu huyu ameibua mgogoro mkubwa baada ya kuhamisha kiti cha Uaskofu na kuhamia Mbeya, huku nyuma akapangisha CRDB jengo la kanisa.
Askofu Mwaikali aliombwa na maaskofu wenziwe , na hata Askofu Mkuu KKKT, Fredrucj Shoo, kujishusha, kukubali makosa na kurudisga kiti Tukuyu.
Amegoma!
Sasa ananyanyapaliwa.
Mini nafuatilia sana mgogori huu maana ni Mluteri.
 
Kesho madhabauni wachungaji wa KKKT wana wafundisha waumini wao umuhimu wa MSAMAHA, hapo ndipo utapojua kwamba kulijua neno la Mungu ni kitu kingine na KULIISHI NENO LA MUNGU VILE LITAKAVYO NI KITU KINGINE.
 
Back
Top Bottom