Masikini Askofu Mwaikali, afukuzwa msibani Kiwira, msiba wa Rev Gehaz Malasusa, aaibu!

Masikini Askofu Mwaikali, afukuzwa msibani Kiwira, msiba wa Rev Gehaz Malasusa, aaibu!

Huu ujinga hutaukuta RC

Ukisharuhusu demokrasia ndani ya kanisa umeharibu kila kitu.

RC , unaletewa Paroko umkubali usimkubali Parokia itaenda.
Hii kitu inawagharimu sana KKKT!

Kuna mifano mingi unaweza kushangaa mchungaji au Mwinjilisiti anafukuzwa kama mbwa alafu ukiuliza mgogoro ameanzisha nani unaambiwa kuna kwaya ilitaka jambo flani walipokataliwa ndio yakatokea hayo.
 
View attachment 2047649
Kama kuna wakati huyu Baba Askofu anapitia wakati mgumu ni huu sasa.
KAtika mazishi ya Rev Gehaz Maasusa, baba wa Askofu mwenziwe Dk Alex Malasusa, Askofu Mwaikali ilibidi aondolewe hapo msibai kwa hofu ya kutokea fujo.

Naambiwa hapo msibani palikuwa na amani ya hali ya juu, lakini askari na watu wa usalam walikuwa wengi kuhakikisha haliharibiki neno.

Ushauri kwa Askofu ni mmoja tu, ajishushe ili wengine wamwinue, au ajiuzulu Uaskofu.
Sasa n dhahiri, washauri wake kina Mch Mwambola wamempotosha .
[emoji38][emoji38][emoji38]
 
kwa jambo hili mtawatambua kwamba ni wafuasi wangu. UPENDO... Ndio kipimo kikuu cha dini ya kweli
 
Back
Top Bottom