Masikini Azam FC, nini hiki kinatokea msimu huu?

Masikini Azam FC, nini hiki kinatokea msimu huu?

Nafasi ya 3 ndio special kwao Azam karibu kila msimu

Sjajua unachowashangaa hawa.. Wewe hujiulizi na uwekezaji wote kuanzia timu za watoto, vijana na Uwanja bora kabisa lakini mafanikio yao wao ni kubeba MAPINDUZI Cup?

:TATIZO LA AZAM FC ni mbinu za kupata matokeo bora msimu mzima...

Pumzi ya wachezaji wao ni ndogo (morali) kulinganisha na Pesa anazowapa Bakresa, kupambania timu yao wachezaji wengi hapo Chamazi hawana kabisa.

Wanacheza wakijua SIMBA NA YANGA ndio kila kitu, Wakitaka kujua POINT ndio kila kitu wawauulize LEICESTER CITY msimu ule wanabeba ubingwa mbele ya Liverpool, Man u, Arsenal, Chelsea na Man city.
Ni kweli mkuu
 
Nashuhudia hapa game ya Azam FC na Namungo. Dakika ya 91 Azam ikiwa mbele kwa goli 2-1. Zikiwa zimeongezwa dakika nne Namungo wakapata kona. Dakika ya 94 Kikoti anapiga kona maridadi kabisa Steven Seyi anasawazisha. Sey anakera sana, anachomekea halafu anawapungia mkono.

FT Azam Fc 2- 2 Namungo

Namuona Nado analia, wachezaji wa Azam FC wamelala chini hawana nguvu. Mpaka nimeshikwa simanzi kwa huruma. Ikumbukwe Azam Fc toka wafungwe na Utopolo Le Dera. Hawajashinda mechi yeyote. Biashara, Gwambina na leo Namungo zote droo.

My Take
Bado Utropolo
Umahaba na mikia unawaponza, tuliwaomba sureboy, walivyotumika na mikia kama kondomi ndo kimewaponza, wakafie mbele na dube wao
 
maombi yafanyike Chamazi nzima. wametoa dro tena
Watu hamjui tu mwenye timu n shabiki Wa msimbazi tena lia lia yeye hata akiifungwa haimuumi kama simba ikipoteza mchezo

Kuna jamaa yupo karibu na na menejiment ya hii timu anasema viongoz wengi wapo kimaslahi pale wanaangalia mifuko yao na wamegawanyika wengne wapo yanga na wengne Sumba muwekezaji mkuu n simba na anaumia zaid simba ikifungwa had mchoz anatoa kuliko azam timu yake ikipoteza ambako amewekeza mabilion ya pesa
 
Watu hamjui tu mwenye timu n shabiki Wa msimbazi tena lia lia yeye hata akiifungwa haimuumi kama simba ikipoteza mchezo

Kuna jamaa yupo karibu na na menejiment ya hii timu anasema viongoz wengi wapo kimaslahi pale wanaangalia mifuko yao na wamegawanyika wengne wapo yanga na wengne Sumba muwekezaji mkuu n simba na anaumia zaid simba ikifungwa had mchoz anatoa kuliko azam timu yake ikipoteza ambako amewekeza mabilion ya pesa
Ndo ufala huo.
 
Wajitahidi mechi yao na wamatopeni wafute uteja kwa msimu huu itatosha sana!
 
Watu hamjui tu mwenye timu n shabiki Wa msimbazi tena lia lia yeye hata akiifungwa haimuumi kama simba ikipoteza mchezo

Kuna jamaa yupo karibu na na menejiment ya hii timu anasema viongoz wengi wapo kimaslahi pale wanaangalia mifuko yao na wamegawanyika wengne wapo yanga na wengne Sumba muwekezaji mkuu n simba na anaumia zaid simba ikifungwa had mchoz anatoa kuliko azam timu yake ikipoteza ambako amewekeza mabilion ya pesa
Ndio umeandika nn? Shame on you uwezo mdgo wa ku analyse na ku evaluate mambo. Umejawa na ushabiki
 
Niuzieni mimi hiyo timu,wacha wakomeshwe,waliwadharirisha sana kina boko na manula pale sasahiv naona wanalipia sasa
 
Nashuhudia hapa game ya Azam FC na Namungo. Dakika ya 91 Azam ikiwa mbele kwa goli 2-1. Zikiwa zimeongezwa dakika nne Namungo wakapata kona. Dakika ya 94 Kikoti anapiga kona maridadi kabisa Steven Seyi anasawazisha. Sey anakera sana, anachomekea halafu anawapungia mkono.

FT Azam Fc 2- 2 Namungo

Namuona Nado analia, wachezaji wa Azam FC wamelala chini hawana nguvu. Mpaka nimeshikwa simanzi kwa huruma. Ikumbukwe Azam Fc toka wafungwe na Utopolo Le Dera. Hawajashinda mechi yeyote. Biashara, Gwambina na leo Namungo zote droo.

My Take
Bado Utropolo
Azam waliua timu kwa mikono yao wenyewe.

Wanafanya usajili wa wachezaji wasio na vision zozote.
 
Back
Top Bottom