Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Hebu wasome wataalam wa soka hapa chini. Bayern kapigwa 3-1 ugenini. Akishinda 2-0 nyumbani kapita. Bado unabisha??Wafunge 3-0.na siyo 2-0,Asernal walifunga 2-0 wametolewa.
Goli la ugenini ndio litawabeba kwa ushundi huo wa 2-0
Wanatakiwa kushinda 2-0 tu.... na wanaweza