Masikini Diamond huu ndo mwanzo wake wa kufilisika


nafikiri ndo tatizo letu wabongo wakipa viela tu elimu kwao haina umuhimu tena.wakifulia tu ndo wanaanza kulalamika ohoo tunabaniwa na media.
 
 
Hivi huyu mtu afilisike aliwahi kuwa tajiri lini?!. Mbona tunajidhalilisha wenyewe wa tz!
 
Mkewe vipi, kwanini asimuhimize Mumewe kwenda kazin, au keshajiona kama Manji, hata Manji bado ana struggle, but tusimlaumu sana, maybe alipatwa na kaproblem.
 
kisha jiona staa badala ya kutafuta kwa nguvu zote ya analemaa
Mi namuonea huruma mara100
kwanza huyo demu wake anaangalia paliponoga kwa sasa
zikiisha sijui kama atamuona
 

hii inanikumbusha yale ya yule wa "takeu"........................tembo iliposifiwa yeye akaitia maji kule Mtwara hadi leo katoweka..............sijui kapotelea wapi..................................well, hakuna mapana yasiyokuwa na ncha.......................that is hard cash you can buy anything with it...
 

Kumbe silabi ngumu namna hii
 
Labda alikuwa na udhuru. Ukute alikula vitu tumbo la kuhara likampata....Ye hajaojiwa kwa nini hakutokea kwenye shoo?
 
Labda alikuwa na udhuru. Ukute alikula vitu tumbo la kuhara likampata....Ye hajaojiwa kwa nini hakutokea kwenye shoo?

anadai alichelewa ndege kumbe alikuwa kwenye shoo ya ruge ivyo akaogopa nyimbo zisije pigwa ban ndani ya clouds fm.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…