Masikini! Ditram Nchimbi

Ana historia ya kuipiga Yanga hat trick (yaani goli tatu peke yake) akiwa Polisi FC
 
Huyu hawezi kuwa maskini wa kiasi hicho, ana nyumba kubwa na nzuri Msamala - Songea, ana maduka pia pale mtaa wa Zanzibar,
Yeye binafs ana gari Harrier, iweje awe boda boda? Labda hapo alikua kijiweni na wenzie tyuuh.
 
Story tu hizo mbona yupo hapa kisemvule na yuko poa kabisa na jana tu kanipa bia tano ikwete bar kisemvule
 
Ditram anatakiwa aendeleze kipaji chake na siyo kujichimbia huko kijijini hata kama aliwekeza.

Kwani kuna ubaya gani akiendelea kucheza soka hata timu ndogo za ligi daraja la kwanza ili pate hela ya kula, huku akiwa hatumii yale mamilion aliyovuna akiwa timu kubwa?

Kuna wachezaji wengi wakongwe bado wanacheza soka ili kusukuma maisha. Siyo kwamba wote hawakuwekeza, ila angalau wanataka waendelee kupata chochote, na siku nguvu zikiisha kabisa, basi wanaendelea kula zile hela walizowekeza.

Maisha ya mpira siyo sawa na kuajiriwa serikalini kwamba utastaafu miaka 60. Maisha ya mpira wa kibongo unacheza hadi miaka 40.

Nilikuwa siamini kama kuna wachezaji wakongwe bado wanacheza mpira, mfano Dani Mrwanda, Haruna Moshi Bobani, Mwantika (DTB), Mrisho Ngasa (Ken Gold).

Pia Tshishimbi amecheza ligi daraja la kwanza msimu huu na Tabora United!

Ditram arudi kucheza soka, Ulaya ndio wanastaafu miaka 30 kwa sababu wanakuwa wamevuna pesa nyingi ambazo wanakula mpaka kufa!

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Huyu hawezi kuwa maskini wa kiasi hicho, ana nyumba kubwa na nzuri Msamala - Songea, ana maduka pia pale mtaa wa Zanzibar,
Yeye binafs ana gari Harrier, iweje awe boda boda? Labda hapo alikua kijiweni na wenzie tyuuh.
Kijiwe gani hicho mbona yuko hovyo?
 
Mbona hawana maendeleo ?
Matumizi baba! Matumizi ndiyo yanayo wamaliza.

Imagine, kubet wao! kuhonga watoto wa shule kwa kuwanunulia chips, na hela ndogo ndogo, wao! Kuwa na michepuko kila kona ya maeneo wanayoishi, wao! kulewa wao! Kubeba abiria wa kike kwa makubaliano maalum, wao! Kungoa viduku, wao!

Hayo maendeleo atayapata lini!
 
Hivi huyu ni yeye au ni jamaa kafanana na Nchimbi? Mbona hata pikipiki haina namba za usajili?
 
Hivi huyu ni yeye au ni jamaa kafanana na Nchimbi? Mbona hata pikipiki haina namba za usajili?
Ni yeye ditram
Plate number imefichwa na kipande cha box angalia vizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…