shaurimbaya
JF-Expert Member
- Oct 3, 2013
- 1,915
- 2,329
heshima kwenu wadau.
nimeumia sana baada ya kusikia bajeti mpya ya serikali.
nimejibana sana na kuagiza ki gari changu.
kupunguza gharama nikatafuta isiyozidi miaka 10 na ya bei nayomudu ili kuikwepa kodi ya uchakavu na.kupunguza gharama.
gari inatarajiwa kufika next month july 14.
serikali imepitisha bajeti mpya ambayo kodi ya uchakavu ni no more 10 years bali.ni 8 years..
hapo haraka haraka kama milion na uchafu imeshaongezeka kwenye kodi niliyopanga.
hii ni zaidi ya kurudishana nyuma.
sijui ushuru mpya utaanzwa kutozwa july 1 st au watasubiri subiri
heshima kwenu wadau.
Nimeumia sana baada ya kusikia bajeti mpya ya serikali.
Nimejibana sana na kuagiza ki gari changu.
Kupunguza gharama nikatafuta isiyozidi miaka 10 na ya bei nayomudu ili kuikwepa kodi ya uchakavu na.kupunguza gharama.
Gari inatarajiwa kufika next month july 14.
Serikali imepitisha bajeti mpya ambayo kodi ya uchakavu ni no more 10 years bali.ni 8 years..
Hapo haraka haraka kama milion na uchafu imeshaongezeka kwenye kodi niliyopanga.
Hii ni zaidi ya kurudishana nyuma.
Sijui ushuru mpya utaanzwa kutozwa july 1 st au watasubiri subiri
daah pole sana mkuu.
Ila kwa mtu yeyote ambaye anahitaji kuagiza gari nje. Tafadhali tuwasiliane. Iwe ngo au private. Its better ukakutana na mtu akakupa maelekezo mazuri na namna ya kuingiza gari na shipping line gani uzitumie.
Ukithibitisha kuwa umeagiza kabla utaratibu mpya haujatangazwa utahesabiwa kama ilivyo sasa.
mimi naitaji kuagiza kigari,aina ya suzuki carrytruck g 4wd,hesabu zake ziko hivi kutoka japan mpaka bandari ya DSM ni dolla 2300,bandarini wanachukua kodi kiasi gan?na gari yenyewe ni zamani usipime 2002,ushauri unaitajika
There is no way atathibitisha unless apate assessment before 1st July ambayo kama ina arrive 14th july haiwezekan kupatikana so kiukweli hana jinsi ni kujipanga tu kuumia na kodi mpya
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
daah pole sana mkuu.
Ila kwa mtu yeyote ambaye anahitaji kuagiza gari nje. Tafadhali tuwasiliane. Iwe ngo au private. Its better ukakutana na mtu akakupa maelekezo mazuri na namna ya kuingiza gari na shipping line gani uzitumie.
heshima kwenu wadau.
nimeumia sana baada ya kusikia bajeti mpya ya serikali.
nimejibana sana na kuagiza ki gari changu.
kupunguza gharama nikatafuta isiyozidi miaka 10 na ya bei nayomudu ili kuikwepa kodi ya uchakavu na.kupunguza gharama.
gari inatarajiwa kufika next month july 14.
serikali imepitisha bajeti mpya ambayo kodi ya uchakavu ni no more 10 years bali.ni 8 years..
hapo haraka haraka kama milion na uchafu imeshaongezeka kwenye kodi niliyopanga.
hii ni zaidi ya kurudishana nyuma.
sijui ushuru mpya utaanzwa kutozwa july 1 st au watasubiri subiri
Mkuu gari yako unaweza usilipie uchakavu endapo utafanya yafuatayo, kama una original documents umeshatumiwa, mpatie agent wako azi lodge hizo documents na akipewa bei akubali ili apate APAD baada ya hapo assess kabisa ili ibakie kulipia tu maana ukiassess kabla mwezi haujaisha haitakuwa na shida kama hujaelewa niPM nikupigie nikueleweshe vizuri.
Asante
Ukithibitisha kuwa umeagiza kabla utaratibu mpya haujatangazwa utahesabiwa kama ilivyo sasa.
Nicheck private msg nikupe qoutation
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Jaman, naomba mniekeweshe vizur, maana nilikua field huko maporin, na gar nilioagiza inafika july 20. Ni ya mwaka 2005
heshima kwenu wadau.
nimeumia sana baada ya kusikia bajeti mpya ya serikali.
nimejibana sana na kuagiza ki gari changu.
kupunguza gharama nikatafuta isiyozidi miaka 10 na ya bei nayomudu ili kuikwepa kodi ya uchakavu na.kupunguza gharama.
gari inatarajiwa kufika next month july 14.
serikali imepitisha bajeti mpya ambayo kodi ya uchakavu ni no more 10 years bali.ni 8 years..
hapo haraka haraka kama milion na uchafu imeshaongezeka kwenye kodi niliyopanga.
hii ni zaidi ya kurudishana nyuma.
sijui ushuru mpya utaanzwa kutozwa july 1 st au watasubiri subiri