shaurimbaya
JF-Expert Member
- Oct 3, 2013
- 1,915
- 2,329
heshima kwenu wadau.
nimeumia sana baada ya kusikia bajeti mpya ya serikali.
nimejibana sana na kuagiza ki gari changu.
kupunguza gharama nikatafuta isiyozidi miaka 10 na ya bei nayomudu ili kuikwepa kodi ya uchakavu na.kupunguza gharama.
gari inatarajiwa kufika next month july 14.
serikali imepitisha bajeti mpya ambayo kodi ya uchakavu ni no more 10 years bali.ni 8 years..
hapo haraka haraka kama milion na uchafu imeshaongezeka kwenye kodi niliyopanga.
hii ni zaidi ya kurudishana nyuma.
sijui ushuru mpya utaanzwa kutozwa july 1 st au watasubiri subiri
nimeumia sana baada ya kusikia bajeti mpya ya serikali.
nimejibana sana na kuagiza ki gari changu.
kupunguza gharama nikatafuta isiyozidi miaka 10 na ya bei nayomudu ili kuikwepa kodi ya uchakavu na.kupunguza gharama.
gari inatarajiwa kufika next month july 14.
serikali imepitisha bajeti mpya ambayo kodi ya uchakavu ni no more 10 years bali.ni 8 years..
hapo haraka haraka kama milion na uchafu imeshaongezeka kwenye kodi niliyopanga.
hii ni zaidi ya kurudishana nyuma.
sijui ushuru mpya utaanzwa kutozwa july 1 st au watasubiri subiri