Masikini gari yangu niliyoagiza, uchakavu kodi mpya!

mwambie aliyekuuzia gari azi-scan hizo documents halafu akupelekee kwa email. ukizipata mpe clearing agent azifanyie taratibu zote kabla ya july 1.
 

huyu dada humu JF huwa naona ni mmoja wa wanaochukiwa zaidi. Tofauti yake na wengine wanaochukiwa humu (kama yule jamaa aliyefanya mazoezi gym akapungua akili badala ya kupungua mwili, mwenye umri sawa na mama anna lakini inabidi umuamkie shkamoo) Faiza anachukiwa kwasababu yupo vizuri kichwani the same applies to zitto. Kudos dada upo safi kichwani keep it up me ni mmoja wa wafuatiliaji wakubwa wa michango yako humu jamvini. Je umeshaolewa?
 
daah pole sana mkuu.
Ila kwa mtu yeyote ambaye anahitaji kuagiza gari nje. Tafadhali tuwasiliane. Iwe ngo au private. Its better ukakutana na mtu akakupa maelekezo mazuri na namna ya kuingiza gari na shipping line gani
uzitumie.

Ushauri mzur
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…