Masikini mwana MMU mwenzetu. Je, atapona kweli leo?

Masikini mwana MMU mwenzetu. Je, atapona kweli leo?

Hivi watu waliopo jeiefu wao ni special sana kwamba sio hawa tunaokutana/pishana mitaani tu kila siku
 
Huyo jamaa hata akikufa atakuwa amekufa kiume, yaani nisawa na askari kufa vitani ama nzi kufia kwenye kidonda
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mke wa mtu siku hz haliwi mkoa husika au wilaya huwa Ni mbali Sana Tena Sana na Ni mipango ya muda mrefu Sana yaani unamtoa dar unaenda mla Moro unamtoa Moro unaenda mla Dom chap anarud
Kama kumla mke wamtu ndio gharama hivyo nibora nimpigie puchu2
 
mimi nlikua namla mke wa mtu anatako balaa..na alisema mboo ya jamaa yake haimkuni..hivo nikawa najipigia tu...nikaanza kumfanyisha mazoez ili awe sexy na tumbo lipungue .basi sku iyo jamaa katukuta..demu anafanya mazoez nliomwambia na mimi niko napga mazoez yangu...mamaaee izo zoez nlizokua napiga ni hatari,,kumbe jamaa alikuja na kisu ila alivoona mi mwenyewe mnyama katika martial arts ikabid anywee na akaanza kusema inakuaje mke wake anapgavtzi na hakuomba ruhusa..nkamwambia mi hainihusu na nlifanya nlivoombwa..hivo wakajadiliane kwao...Sasa na yule mke wa mtu nikamuacha baada ya kujua mwenye mke anaweza kukuuumiza bila ata kukugusa...KUBWA ZAIDI saiv kuna watu na wake zao wanafanya michezo ya kupora riziki za watu,,yani anakuacha utembee na mke wake hata mkiwa kumi,,ila unavokojoa ndivo riziki yako inavohamia kwake,inakua unamtaftia hela yeye bila kujijua..hivo unakuta hupati hela kama unavofanya kazi,kumbe tego uliliingia kwa mke wa mtu la kugawa riziki yako kwa mme wake...saiv wake za watu sitaaakiii
Kuna Tajiri mmoja namke wake wanahizo skendo mkoa flani
 
Kuna taarifa ya kuuzunisha nimeipata muda huu kutoka Morogoro, Kihonda kwamba memba mwenzetu kafumaniwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya jamaa.

Nimeambiwa kwamba kumbe mwenye mke alimtegea muda mrefu tu sana na leo kanasa mtegoni.

Nasikia memba mwenzetu kamiminiwa uji wa moto ndani ya viatu vyake na kakalishwa kwenye chungu cha moto.

Sina taarifa za kutosha kwani nipo mbali ya tukio mliopo Kihonda Bima hapo tupeni habari kamili maana nimeambiwa kimenuka kisawa sawa watu kibao.

Kazi kwenu wapenda wake za watu, mwenzenu ameshanasa huko bado wewe zamu yako na nina kuhakikishia utanasa tu usijione mjanja saaaaaaana.
MKE WA MTU NI SUMU
 
mimi nlikua namla mke wa mtu anatako balaa..na alisema mboo ya jamaa yake haimkuni..hivo nikawa najipigia tu...nikaanza kumfanyisha mazoez ili awe sexy na tumbo lipungue .basi sku iyo jamaa katukuta..demu anafanya mazoez nliomwambia na mimi niko napga mazoez yangu...mamaaee izo zoez nlizokua napiga ni hatari,,kumbe jamaa alikuja na kisu ila alivoona mi mwenyewe mnyama katika martial arts ikabid anywee na akaanza kusema inakuaje mke wake anapgavtzi na hakuomba ruhusa..nkamwambia mi hainihusu na nlifanya nlivoombwa..hivo wakajadiliane kwao...Sasa na yule mke wa mtu nikamuacha baada ya kujua mwenye mke anaweza kukuuumiza bila ata kukugusa...KUBWA ZAIDI saiv kuna watu na wake zao wanafanya michezo ya kupora riziki za watu,,yani anakuacha utembee na mke wake hata mkiwa kumi,,ila unavokojoa ndivo riziki yako inavohamia kwake,inakua unamtaftia hela yeye bila kujijua..hivo unakuta hupati hela kama unavofanya kazi,kumbe tego uliliingia kwa mke wa mtu la kugawa riziki yako kwa mme wake...saiv wake za watu sitaaakiii
Kutembea na mke wa mtu ni dalili za kupenda kupigwa mtungo...
 
Atakua ni lizaboni au etwege mda huu marinda yameshaliwa
Kuna taarifa ya kuuzunisha nimeipata muda huu kutoka Morogoro, Kihonda kwamba memba mwenzetu kafumaniwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya jamaa.

Nimeambiwa kwamba kumbe mwenye mke alimtegea muda mrefu tu sana na leo kanasa mtegoni.

Nasikia memba mwenzetu kamiminiwa uji wa moto ndani ya viatu vyake na kakalishwa kwenye chungu cha moto.

Sina taarifa za kutosha kwani nipo mbali ya tukio mliopo Kihonda Bima hapo tupeni habari kamili maana nimeambiwa kimenuka kisawa sawa watu kibao.

Kazi kwenu wapenda wake za watu, mwenzenu ameshanasa huko bado wewe zamu yako na nina kuhakikishia utanasa tu usijione mjanja saaaaaaana.
 
Hao wake za watu kula kwa macho, alafu wapitie kwa mbali, wanawake wote hao mpaka uchukue mke wa mtu.😡🤬

Haina haja ya kuona huruma, kwanini yeye hakuona huruma anavyotafuna mali ya mwanume mwenzie.🤬

MKE WA MTU SUMU🚫
 
KUBWA ZAIDI saiv kuna watu na wake zao wanafanya michezo ya kupora riziki za watu,,yani anakuacha utembee na mke wake hata mkiwa kumi,,ila unavokojoa ndivo riziki yako inavohamia kwake,inakua unamtaftia hela yeye bila kujijua..hivo unakuta hupati hela kama unavofanya kazi,kumbe tego uliliingia kwa mke wa mtu la kugawa riziki yako kwa mme wake...saiv wake za watu sitaaakiii

dah.. kwahio watu wanageuza wake zao chumaulete? binadam nyoko [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom