Masikini mwana MMU mwenzetu. Je, atapona kweli leo?

Masikini mwana MMU mwenzetu. Je, atapona kweli leo?

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mkuu naona unaacheka mdau kuliwa kisamvu na mapumbu kuchemshwa
Uki wa mzembe Kama huyo jamaa nawewe yatakukuta
 
Hivi baba Nasma alimfumania yule "mwizi" wake? Nakuuliza mleta mada
 
Kuna taarifa ya kuuzunisha nimeipata muda huu kutoka Morogoro, Kihonda kwamba memba mwenzetu kafumaniwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya jamaa.

Nimeambiwa kwamba kumbe mwenye mke alimtegea muda mrefu tu sana na leo kanasa mtegoni.

Nasikia memba mwenzetu kamiminiwa uji wa moto ndani ya viatu vyake na kakalishwa kwenye chungu cha moto.

Sina taarifa za kutosha kwani nipo mbali ya tukio mliopo Kihonda Bima hapo tupeni habari kamili maana nimeambiwa kimenuka kisawa sawa watu kibao.

Kazi kwenu wapenda wake za watu, mwenzenu ameshanasa huko bado wewe zamu yako na nina kuhakikishia utanasa tu usijione mjanja saaaaaaana.
Hahaha anaweza pona
 
Kama vile umekuja kuwananga hivi. Kama hakuna hiyo taarifa ila umekuja kuwapa hiyo habari kwa njia ya kikuda. Halafu siku hizi hayo mambo siku hizi ni ya kawaida sana. Mke wa mtu kugongwa ni kawaida sana. Ni 80% ya wanaume (utafiti usio rasmi) wanagonga hicho kitu
 
Back
Top Bottom