Masikini mwana MMU mwenzetu. Je, atapona kweli leo?

Hivi watu waliopo jeiefu wao ni special sana kwamba sio hawa tunaokutana/pishana mitaani tu kila siku
 
Huyo jamaa hata akikufa atakuwa amekufa kiume, yaani nisawa na askari kufa vitani ama nzi kufia kwenye kidonda
 
Kama kumla mke wamtu ndio gharama hivyo nibora nimpigie puchu2
 
Kuna Tajiri mmoja namke wake wanahizo skendo mkoa flani
 
MKE WA MTU NI SUMU
 
Kutembea na mke wa mtu ni dalili za kupenda kupigwa mtungo...
 
Atakua ni lizaboni au etwege mda huu marinda yameshaliwa
 
Hao wake za watu kula kwa macho, alafu wapitie kwa mbali, wanawake wote hao mpaka uchukue mke wa mtu.😡🤬

Haina haja ya kuona huruma, kwanini yeye hakuona huruma anavyotafuna mali ya mwanume mwenzie.🤬

MKE WA MTU SUMU🚫
 

dah.. kwahio watu wanageuza wake zao chumaulete? binadam nyoko [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…