Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,469
- 12,391
siku hizi feki akaunti zipo nyingi sana....Mwanamuziki mwenye sauti laini yenye kukonga nyoyo za mashabiki asiyekuwa na makuu kutoka mkoani kigoma anayetamba na kibao cha #yanje Omary faraji nyembo "ommy dimpoz" amethibitisha ni mgonjwa katika akaunti yake ya facebook leo asubuhi.Ameomba maombi ya mashabiki wake na wanainchi wote kwa ujumla kwa kuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa kansa ya koo.
Mungu amfanyie wepesi kijana wetu arejee katika hali yake.
Mkuu siku zote jaribu kutoa matumaini kwa mgonjwa kwani huo ndio ubinadamu.Chance za kupona ni ndogo sana
Kansa ya koo maana yake ulaji ni mgumu, hivyo mwili utaathirika
Mimi na ww nani bwegeAcha kuchukulia kila muda ni joking we bwege
Kwa sisi mwenye iman ndogo huyu kapigwa kipapai na WCB
Naludia tena kusema kwa sisi mwenye iman ndogo na potofu
Iyo kansa ya katupiwa na WCB
Mkuu siku zote jaribu kutoa matumaini kwa mgonjwa kwani huo ndio ubinadamu.
Hakuna mtu anayeumwa kansa alafu akaandika hivyo kwenye page yake.Mwanamuziki mwenye sauti laini yenye kukonga nyoyo za mashabiki asiyekuwa na makuu kutoka mkoani kigoma anayetamba na kibao cha #yanje Omary faraji nyembo "ommy dimpoz" amethibitisha ni mgonjwa katika akaunti yake ya facebook leo asubuhi.Ameomba maombi ya mashabiki wake na wanainchi wote kwa ujumla kwa kuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa kansa ya koo.
Mungu amfanyie wepesi kijana wetu arejee katika hali yake.