Masikini Ommy Dimpozi Mungu akusimamie kaka

Masikini Ommy Dimpozi Mungu akusimamie kaka

Mwanamuziki mwenye sauti laini yenye kukonga nyoyo za mashabiki asiyekuwa na makuu kutoka mkoani kigoma anayetamba na kibao cha #yanje Omary faraji nyembo "ommy dimpoz" amethibitisha ni mgonjwa katika akaunti yake ya facebook leo asubuhi.Ameomba maombi ya mashabiki wake na wanainchi wote kwa ujumla kwa kuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa kansa ya koo.

Mungu amfanyie wepesi kijana wetu arejee katika hali yake.
siku hizi feki akaunti zipo nyingi sana....
 
Naona kuna wengine hawaamini kama kweli huyu kaka ananwa, ni kweli anaumwa japo am not sure kama ni kansa mana hiyo akaunt iliyotoa taarifa hatuna uhakika kama ni yake, ila kuumwa koo anaumwa na alifanyiwa operation mwanzoni mwa mwaka huu huko south africa, ila hatujui anaendeleaje. Ila kwa maelezo yake alipofanyiwa interview baada ya ile operation ni kwamba ni tatizo lililomuanza muda mrefu alikuwa anapat tabu sana kumeza chakula hata maji kwa muda mrefu na alipewa ushauri wa kwenda kumuona dokta na akiwa kwenye harus ya alikiba huko mombasa na gavana mmoja hv aliemshuhudia akipata shida kumeza wakati wakipata breakfast.
 
Huyu jamaa alikuwa anajiona sana kana kwamba yeye hawezi kupata matatizo.Kwanza kabisa kwenye kifo cha Mkali wa Freestyle,Mangwea alitamka maneno ya dhihaka sana.Pili alipokwazana na Msanii mwenzie alikimbilia kuhusisha Mzazi wa mwenzie katika jamii yetu Tunasema Mama ni Mama vyovyote awavyo.Lakini yote kwa yote tunaomba Allah ampe uponyaji wake.Ugua pole Omary
 
Mwanamuziki mwenye sauti laini yenye kukonga nyoyo za mashabiki asiyekuwa na makuu kutoka mkoani kigoma anayetamba na kibao cha #yanje Omary faraji nyembo "ommy dimpoz" amethibitisha ni mgonjwa katika akaunti yake ya facebook leo asubuhi.Ameomba maombi ya mashabiki wake na wanainchi wote kwa ujumla kwa kuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa kansa ya koo.

Mungu amfanyie wepesi kijana wetu arejee katika hali yake.
Hakuna mtu anayeumwa kansa alafu akaandika hivyo kwenye page yake.

Nina uhakika 98% hiyo page sio ya Ommy Dimpoz.
 
Back
Top Bottom