Masikini Ommy Dimpozi Mungu akusimamie kaka

Masikini Ommy Dimpozi Mungu akusimamie kaka

Ko wana page tuu ila hawana acc?,wewe kweli mgeni wa fb.

Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wengi waarufu TZ hawatumii fb hizo pages wanazitengeneza watu tu ili kupata followers mara utakutana page inapost sana habari za diamond mara kuna shindano sijui kaweka kwa mashabiki wake anadai atatoa simu ukifuatilia hakuna anayepewa zawadi. Fuatilia utajua na wasanii wengi kila mara wanasema walishajitoa fb sema ndiyo hivyo ndiyo maana pages zinazojifanya ni za vicoba zikiwa na majina ya viongozi bado zinaendelea na watu wanapigwa tu daily....
 
Kuna kipindi hata Fally Ipupa nadhani aliugua hiyo ila sasa hivi naona yuko vema,so na Omary naamini itakuwa hivyohivyo
 
Ikiwezekana aombe kibali maalum kutoka wizara ya afya ili aruhusiwe kutumia mafuta ya bangi (cannabis oil) kwani tafiti mabalimbali zilizofanyika zimethibitisha uwezo wake ktk kutibu kansa especially zikiwa bado zipo katk hatua za awali( initial satages).

Pia hata kwa wagonjwa wenye kansa, mafuta hayo husaidia kupunguza maumivu makali.

References

(*)Donald I Abrams, Manuel Guzman. Cannabis in cancer care. Clinical Pharmacology & Therapeutics 97 (6), 575-586, 2015

(**) Ana Tečić Vuger et al., Cannabis in oncology. Libri oncologici: Croatian journal of oncology 44 (2-3), 51-57, 2016
Mkuu pasi na shaka wewe ni medical practictioner!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mbona anaumwa muda mrefu hadi alipelekwa SA kwaajili ya matibabu" na alivyotoka kwenye matibabu " akawa anaishi mombasa kwa JOHO " hata makonda alitaka kumpatia nyumba maalum kwaajili ya special treatment " akamjibu kuwa mombasa yupo kwenye mazingira salama pia" but kwa sasa sijui kama amesharudi dar au la "!!

daaah masikini" ama kweli hujafa hujaumbika" Pole omary nyembo
Kwa joho maanake nn mkuu au jina la mtu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom