Ngandema Bwila
JF-Expert Member
- Sep 8, 2010
- 1,017
- 258
Kwa upeo wako mdogo Wang Nape unadhani kuwepo kwa Ulouch bungeni kunaharalilisha mchakato wa upatikanaji wa katiba. Kwako nape CCM no zaidi ya Tanzania? Tanzania ni pamoja name Ukawa dogo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nape wewe nimoja wa vijana niliokuwa nawategemea katika nchi hii na niseme kweli ni mmoja wa watu walio nishawishi kufuatilia siasa lakini kwa sasa napatwa na mashaka na uwezo wako wakufikilia siamini kama inatokana na matokeo yako ya fm4 kwani kufeli na kufaulu elimu ya sekondari hakumuondolei mtu timamu uwezo wakufikili. Kaka vp CCJ imefia wapi?Niliwahi kusema nikiwa Kigoma kuwa UKAWA ni kaburi la vyama vya upinzani nchini! Sasa nimeangalia bunge asub hii na kuona hao waliokuwa wakiaminiwa kama ni UKAWA wamo bungeni. Huu ni msiba mkubwa kwa UKAWA. Sasa wamebaki Chadema,nccr na cuf tena SI WOTE!
Kimbieni msiba huu mkubwa. Cuf na nccr mnaingizwa mkenge na Chadema ambayo inaishi kwa matumaini kwasasa! Fumbueni macho!
Hongera Olouch!
Unampongeza Oluoch kwa lipi wakati ameshaeleza msimamo wa walimu ni serikali 3? unaunga mkono serikali 3?jifikirishe kidogo kijana usikurupuke....endeleeni kujipa matumaini afu mtauona moto wakeNiliwahi kusema nikiwa Kigoma kuwa UKAWA ni kaburi la vyama vya upinzani nchini! Sasa nimeangalia bunge asub hii na kuona hao waliokuwa wakiaminiwa kama ni UKAWA wamo bungeni. Huu ni msiba mkubwa kwa UKAWA. Sasa wamebaki Chadema,nccr na cuf tena SI WOTE!
Kimbieni msiba huu mkubwa. Cuf na nccr mnaingizwa mkenge na Chadema ambayo inaishi kwa matumaini kwasasa! Fumbueni macho!
Hongera Olouch!
Niliwahi kusema nikiwa Kigoma kuwa UKAWA ni kaburi la vyama vya upinzani nchini! Sasa nimeangalia bunge asub hii na kuona hao waliokuwa wakiaminiwa kama ni UKAWA wamo bungeni. Huu ni msiba mkubwa kwa UKAWA. Sasa wamebaki Chadema,nccr na cuf tena SI WOTE!
Kimbieni msiba huu mkubwa. Cuf na nccr mnaingizwa mkenge na Chadema ambayo inaishi kwa matumaini kwasasa! Fumbueni macho!
Hongera Olouch!
- Juzi nilikutana na mbunge mmoja wa Chadema kwenye viwanja nikamtajia ukawa akaniomba sana na kunishi nisiseme kwa watu wasisikie maana ukawa sasa ni tatizo sana kwa wananchi, sikuamini alichokuwa anakisema kumbe na wao wameshaelewa kuwa wanayoyafanya sasa hata wananchi hawafurahii!!
Le Mutuz System
Niliwahi kusema nikiwa Kigoma kuwa UKAWA ni kaburi la vyama vya upinzani nchini! Sasa nimeangalia bunge asub hii na kuona hao waliokuwa wakiaminiwa kama ni UKAWA wamo bungeni. Huu ni msiba mkubwa kwa UKAWA. Sasa wamebaki Chadema,nccr na cuf tena SI WOTE!
Kimbieni msiba huu mkubwa. Cuf na nccr mnaingizwa mkenge na Chadema ambayo inaishi kwa matumaini kwasasa! Fumbueni macho!
Hongera Olouch!
- Shibuda haendi Escape 1 Beach Club kaka, wacha kurusha majina ya watu bila ukweli!!
Le Mutuz System
Achana nae huyo, babake si mnajua alivotaka kuuza nchi ili apate urais 1995 hadi akaslimu na kuitwa Jumanne? hata hilo toto lake bwanyenye mtindo ni huohuo!Mtu mzima kusema uongo wa kitoto ni kujidharaulisha mbele ya jamii. Huyo mbunge unayeshindwa kumtaja unamwogopa? Kama ingekuwa UKAWA sio tatizo mbona marathon za vikao vya kujadili kilichotokea vinaendelea ili kutibu majeraha?
Sent from my iPad using JamiiForums
Tangulini adui akampa angalizo adui yake kwamba anapotea!
Sent from my iPad using JamiiForums app
kumbuka UKAWA inaundwa na vyama vya CUF, CHADEMA na NCCR Mageuzi. Sasa wewe usyeijua famila yako OLOUCH yupo chama gani kati ya hiyo?
Niliwahi kusema nikiwa Kigoma kuwa UKAWA ni kaburi la vyama vya upinzani nchini! Sasa nimeangalia bunge asub hii na kuona hao waliokuwa wakiaminiwa kama ni UKAWA wamo bungeni. Huu ni msiba mkubwa kwa UKAWA. Sasa wamebaki Chadema,nccr na cuf tena SI WOTE!
Kimbieni msiba huu mkubwa. Cuf na nccr mnaingizwa mkenge na Chadema ambayo inaishi kwa matumaini kwasasa! Fumbueni macho!
Hongera Olouch!
Yaani hofu yetu iko CHADEMA tu? This is a good sign ya jinsi inavyowashughulisha.
Wanasiasa mnawafanya Watanzania wapumbavu. Sioni tofauti yenu na mashangingi ya Buguruni, Mwananyamala na Magomeni. Kupeana mipasho kutwa kucha. Anzisheni bendi ya taarabu basi. Na wewe Nape, tutakuvalisha kanga kiunoni tujue moja kuwa ni miongoni mwa hao "mashangingi", maana nakuona umebobea kwa mipasho na umbea.
Niliwahi kusema nikiwa Kigoma kuwa UKAWA ni kaburi la vyama vya upinzani nchini! Sasa nimeangalia bunge asub hii na kuona hao waliokuwa wakiaminiwa kama ni UKAWA wamo bungeni. Huu ni msiba mkubwa kwa UKAWA. Sasa wamebaki Chadema,nccr na cuf tena SI WOTE!
Kimbieni msiba huu mkubwa. Cuf na nccr mnaingizwa mkenge na Chadema ambayo inaishi kwa matumaini kwasasa! Fumbueni macho!
Hongera Olouch!