Masikini UKAWA

Kwa upeo wako mdogo Wang Nape unadhani kuwepo kwa Ulouch bungeni kunaharalilisha mchakato wa upatikanaji wa katiba. Kwako nape CCM no zaidi ya Tanzania? Tanzania ni pamoja name Ukawa dogo.
 
Eti huyu nae ni kjana mawazo yake mgando cku moja tutawahuk kwa kuiharbu nch yetu magamba nyieeed
 
Nape wewe nimoja wa vijana niliokuwa nawategemea katika nchi hii na niseme kweli ni mmoja wa watu walio nishawishi kufuatilia siasa lakini kwa sasa napatwa na mashaka na uwezo wako wakufikilia siamini kama inatokana na matokeo yako ya fm4 kwani kufeli na kufaulu elimu ya sekondari hakumuondolei mtu timamu uwezo wakufikili. Kaka vp CCJ imefia wapi?
 
Unampongeza Oluoch kwa lipi wakati ameshaeleza msimamo wa walimu ni serikali 3? unaunga mkono serikali 3?jifikirishe kidogo kijana usikurupuke....endeleeni kujipa matumaini afu mtauona moto wake
 

Waache wakae humo bungeni WaLukuviwe.
Kwa taarifa yako kama hamuitaki nchi yenu Tanganyika msijifiche kwenye kivuli cha Muungano , Muungano huu ni nchi mbili kama moja haijitokezi basi ndio mwisho wa Muungano. WaZanzibari walikuwa hawajuwi kama wanaLukuviwa.:israel:
 
Wanasiasa mnawafanya Watanzania wapumbavu. Sioni tofauti yenu na mashangingi ya Buguruni, Mwananyamala na Magomeni. Kupeana mipasho kutwa kucha. Anzisheni bendi ya taarabu basi. Na wewe Nape, tutakuvalisha kanga kiunoni tujue moja kuwa ni miongoni mwa hao "mashangingi", maana nakuona umebobea kwa mipasho na umbea.
 
Mmepata muda mzuri wa kutunga katiba yenu, nyie badala ya kufanya chap chap unabaki kupoteza muda kuwafuatilia Ukawa. Katiba ya wananchi itakuja tu na Tanganyika yetu nayo itarudi
 

Mtu mzima kusema uongo wa kitoto ni kujidharaulisha mbele ya jamii. Huyo mbunge unayeshindwa kumtaja unamwogopa? Kama ingekuwa UKAWA sio tatizo mbona marathon za vikao vya kujadili kilichotokea vinaendelea ili kutibu majeraha?


Sent from my iPad using JamiiForums
 

duh! hivi una akili kweli wewe!.....!
 
Achana nae huyo, babake si mnajua alivotaka kuuza nchi ili apate urais 1995 hadi akaslimu na kuitwa Jumanne? hata hilo toto lake bwanyenye mtindo ni huohuo!
 
kuna wengine wamerudi kwa kuogopa ile nadharia ya Ulimbokalism
 
Mkuu Nape,
Hawa UKAWA ni sawa na SODA yenye gesi kama vile coka. Hawana muda mrefu watatulia.
chadema wao ni wa kila siku huwa hawajali muda wala maendeleo ya wananchi.
 
kumbuka UKAWA inaundwa na vyama vya CUF, CHADEMA na NCCR Mageuzi. Sasa wewe usyeijua famila yako OLOUCH yupo chama gani kati ya hiyo?

Mkuu,
Yanini kubishana na Msemaji INTARAHAMWE, yeye anahisi ni Msemaji wa kila Mmoja
 

Miongoni mwa wanaccm wanaotumia makalio na tumbo kufikiria ni Nape nnauye. wewe saka tonge kijana. Hivi mbona kuna kipindi ulisema KIKWETE akiingia madarakani utaondoka Tanzania Ukaishi nje ya nchi ? leo uko nchi gani wewe msaka tonge?

Endelea kukuza tumbo
 

Hahahahaa .... mambo iko kule! Kikundi ..ya Taarabu wanayo....!
 
Nice piece of poo. Congrats

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…