Masikini Vodacom na Airtel mnaenda kubeba mzigo usiowahusu!

Masikini Vodacom na Airtel mnaenda kubeba mzigo usiowahusu!

Kuna yule jamaa kila kitu anasemaga Mungu mbariki ......................, Hapa angeshasema Mungu mbariki Amsterdam, Ila tangu jana asubuhi baada ya kiongozi wa upinzani bungeni kuaga mashindano rasmi hajaonekana. Asijekuwa kanywa SUMU, maana alikuwa na matumaini sana na NI YEYE.
 
Sijui kwa nini siipendi. Vodacom. Situmii mtandao wao ila watu wengi wana komaa na hili limtandao la wezi
 
Waifilisi kabisa turudi nyumbani maana kumenoga...
 
Halafu walivyokosa aibu wananitumia msg eti kifurushi changu kimekwisha. Ninunue kingine. Nikitukana nitakuwa nimekosea?
Ni haki yako kutukana mkuu, watukane tu wala hakuna tatizo.
 
Kutoka kuilaumu NEC hadi Vodacom kweli Amsterdam ana customer care nzuri.....aende na kule Zenji!
 
Imewasaidia wachina kuwa na maendeleo mkubwa ya haraka na kuwasumbua mataifa yaliyokua yameendelea sana ambayo hayakudhani mchina angeweza kuwa threat kwao

Kweli chenye uchungu ndio dawa 😃😃😃
Hawana unafiki wa kusema tunafuata mfumo wa demokrasia ya vyama vingi wakati mnataka practice mfumo wa chama ki 1
 
Tuliwahi kufanana nao kwa uwazi kabisa. Tukaamuwa demokrasia ya vyama vingi, kumbe hatupo tayari, tumekuwa vuguvugu.
kwa hali tuliyo nayo kwa sasa ni vyema kula taratibu na kipofu.

sisi tunafanana na china ila hatulingani hata na china ya miaka 100 iliyopita.
 
Vodafone ni majority shareholder wa Vodacom ahusiki na management ya kuendesha shirika. In other words Vodacom is a separate business entity on its own.

Kwa Tanzania Vodacom ni service provider ahusiki na network transmission,yeye mwenyewe analipia TCRA to conduct his services. Ata hizo kampuni zina wanasheria wao waliobobea.

Huyu Amsterdam yupo kwa ajili ya viazi tu, na kuropoka ovyo alisema alikuwa anakusanya ushahidi wa kuipeleka serikali ya Tanzania ICC through out the campaign all of a sudden anaomba EU iingilie kati; ndio ujue hana lolote.

Ni sawa na watu wanao amini Fatma Karume kweli kafukuzwa IMMMA wakati yeye ni equity partner alieshiriki kuandika ‘deed of partnership’ ukisoma tweet zake kwa makini angetaka angeenda mahakamani. Wenye akili timamu wanajua the termination of her partnership was based on mutual understanding kuokoa biashara mengine maigizo tu.
 
Hahaha wangefanya nini na Nkurunzinza aliamuru wazime?!
 
Back
Top Bottom