Masikini Vodacom na Airtel mnaenda kubeba mzigo usiowahusu!

Masikini Vodacom na Airtel mnaenda kubeba mzigo usiowahusu!

Mimi sitaki kuwalaumu moja kwa moja maana najuwa haikuwa hiyari yao ila makampuni yote ya simu ni lazima wawafidie wateja wao na sio kuwafidia na bando sijui wako watu wamepoteza baadhi ya biashara zao au hasara kwa usumbufu huu na mbaya zaidi sio kwamba tatizo la kiufundi hapana wamekata halafu bila kutoa hata notice au kuomba msamaha kama wateja sio lolote lakini wao wateja ndio wanawafanya kuwa wao. Sasa naelewa hapa ni Tz hakitalipwa kitu wala mahakamana zetu hawawezi kutoa adhabu kwa hizi kampuni na mbaya sijui kitengo kinachosimamia haki za wateja. Hawa wangekuwa nchi za wenzetu wangepata habari zao.
 
Mimi sitaki kuwalaumu moja kwa moja maana najuwa haikuwa hiyari yao ila makampuni yote ya simu ni lazima wawafidie wateja wao na sio kuwafidia na bando sijui wako watu wamepoteza baadhi ya biashara zao au hasara kwa usumbufu huu na mbaya zaidi sio kwamba tatizo la kiufundi hapana wamekata halafu bila kutoa hata notice au kuomba msamaha kama wateja sio lolote lakini wao wateja ndio wanawafanya kuwa wao. Sasa naelewa hapa ni Tz hakitalipwa kitu wala mahakamana zetu hawawezi kutoa adhabu kwa hizi kampuni na mbaya sijui kitengo kinachosimamia haki za wateja. Hawa wangekuwa nchi za wenzetu wangepata habari zao.
Lazima kwanza uthibitishe ‘fault liability’ ilipo za makampuni ya simu ili upate fidia; kama ni mambo ambayo yapo juu ya uwezo wao inabidi na wenyewe wadai hizo fidia TCRA ili waweze kulipa. If that is the case then there is the law what does it state TCRA wakivurugua mawasaliano ya wengine because of their technical fault.

Legally it will be fruitless kuwashitaki makampuni ya simu because what happened is not within their control (unless you can prove ni wao ndio waliozuia mitambo yao) unaeitaji kumfungulia kesi ya madai ni TCRA.
 
Sijui kwa nini siipendi. Vodacom. Situmii mtandao wao ila watu wengi wana komaa na hili limtandao

Lazima kwanza uthibitishe ‘fault liability’ ilipo za makampuni ya simu ili upate fidia; kama ni mambo ambayo yapo juu uwezo wao inabidi wadai hizo fidia TCRA ili waweze kulipa then there is the law what does it state TCRA wakivurugua mawasaliano ya wengine because of their technical fault.

Legally it will be fruitless kuwashitaki makampuni ya simu because it is not their (unless you can prove ni wao ndio waliozuia Mitanni yao) unaeitaji kumfungulia kesi ya madai ni TCRA.
Mimi naelewa kwa nchi yetu hakuna kitu ila kwa point yako kuwashitaki TCRA hapo mimi nitapingana na wewe, mimi ni mteja wa kampuni fulani unaniuzia huduma na tunalipia huduma kabla ya kupata huduma in advance halafu unachukuwa pesa huduma hunipi mimi sina mkataba na TCRA lincence wamekupa wewe utoe huduma. Ni sawa kununua ticket ya ndege non refundable naenda airport ndege wana cancel wenyewe nikitaka kurudishiwa pesa waniambie hapana sio sisi tumezuiwa kuruka na serikali nenda kaishtaki serikali wakurudishie.
 
kwa hali tuliyo nayo kwa sasa ni vyema kula taratibu na kipofu.

sisi tunafanana na china ila hatulingani hata na china ya miaka 100 iliyopita.
China wako straight forward kuwa siasa zao ni za chama kimoja, tofauti na sisi tunaosena kuwa tuna siasa za vyama vingine wakati tuna practice siasa za chama kimoja.
 
Mimi naelewa kwa nchi yetu hakuna kitu ila kwa point yako kuwashitaki TCRA hapo mimi nitapingana na wewe, mimi ni mteja wa kampuni fulani unaniuzia huduma na tunalipia huduma kabla ya kupata huduma in advance halafu unachukuwa pesa huduma hunipi mimi sina mkataba na TCRA lincence wamekupa wewe utoe huduma. Ni sawa kununua ticket ya ndege non refundable naenda airport ndege wana cancel wenyewe nikitaka kurudishiwa pesa waniambie hapana sio sisi tumezuiwa kuruka na serikali nenda kaishtaki serikali wakurudishie.
That is what happens ukienda kupanda ndege kama hali ya hewa sio nzuri kurusha inabidi wafanye schedule nyingine ya kukurusha.

Lakini ikitokea serikali imezuia ndege siku hiyo zisiruke airline don’t have that responsibility vinginevyo serikali inabidi ilipie hizo gharama ndio maana awafanyi ivyo.

Similarly kampuni za simu zina consideration terms za mkataba na wewe na wao wana ‘post consideration agreements terms’ na TCRA based on law.

Kwa ivyo TCRA wanapovuruga it’s not their fault and liability in contract law as well as in tort depends on fault or breach of contract either way the bulk stops with TCRA.

If that is the is case then what are the implied terms between TCRA and telecommunication services by law with regards to ‘post consideration’ of their contract?

Sio jambo rahisi kama unavyodhani kuwashitaki makampuni ya simu wana wanasheria na wao.
 
Unavyoona unadhani tunaweza kuacha unafiki na kufanana nao?
Tuliwahi kufanana nao kwa uwazi kabisa. Tukaamuwa demokrasia ya vyama vingi, kumbe hatupo tayari, tumekuwa vuguvugu.
Wajinga, wameingizwa kwenye mtego wa siasa za kijima na za kipumbavu
kwa hali tuliyo nayo kwa sasa ni vyema kula taratibu na kipofu.

sisi tunafanana na china ila hatulingani hata na china ya miaka 100 iliyopita.

Tunataka siasa yenye maendeleo
 
That is what happens ukienda kupanda ndege kama hali ya hewa sio nzuri kurusha inabidi wafanye schedule nyingine ya kukurusha.

Lakini ikitokea serikali imezuia ndege siku hiyo zisiruke airline don’t have that responsibility vinginevyo serikali inabidi ilipie hizo gharama ndio maana awafanyi ivyo.

Similarly kampuni za simu zina consideration terms za mkataba na wewe na wao wana ‘post consideration agreements terms’ na TCRA based on law.

Kwa ivyo TCRA wanapovuruga it’s not their fault and liability in contract law as well as in tort depends on fault or breach of contract either way the bulk stops with TCRA.

If that is the is case then what are the implied terms between TCRA and telecommunication services by law with regards to ‘post consideration’ of their contract?

Sio jambo rahisi kama unavyodhani kuwashitaki makampuni ya simu wana wanasheria na wao.
Nimekuelewa vizuri na hili kwa nchi zetu tunajuwa haliwezekani, kubwa zaidi watu wengi huwa tuna sign na huwa hatusomi Terms and condition na hata watoa huduma huwa hawasomi na siku zote wanasheria wanakuwa wanakuchanganya na lugha na maneno mengi unajaziwa page kamili ili ukiangalia tu ukate tamaa utakachoona sehemu ya kusign basi lakini asilimia 100% hatujui tuna sign nini ndio maana nchi za wenzetu kuna chombo cha kuangalia haki za wateja na ushindani. Mimi sishauri kuwashtaki wala nini basi wangetuma hata SMS kwa wateja kuomba msamaha kwa issue nje ya uwezo wetu inatosha watu wataelewa lakini kimya kama huduma siko sawa.
 
Nimekuelewa vizuri na hili kwa nchi zetu tunajuwa haliwezekani, kubwa zaidi watu wengi huwa tuna sign na huwa hatusomi Terms and condition na hata watoa huduma huwa hawasomi na siku zote wanasheria wanakuwa wanakuchanganya na lugha na maneno mengi unajaziwa page kamili ili ukiangalia tu ukate tamaa utakachoona sehemu ya kusign basi lakini asilimia 100% hatujui tuna sign nini ndio maana nchi za wenzetu kuna chombo cha kuangalia haki za wateja na ushindani. Mimi sishauri kuwashtaki wala nini basi wangetuma hata SMS kwa wateja kuomba msamaha kwa issue nje ya uwezo wetu inatosha watu wataelewa lakini kimya kama huduma siko sawa.
Kuomba msamaha lingekuwa jambo la kiungwana ata kutoa extra days or freezing bundles provided it doesn’t take much to alter their systems (which I don’t believe it’s that easy) admittedly ufahamu wangu wa systems za telecommunications is limited.

Otherwise there are lots of complicated legal tests kwenye mikataba kuliko kutupa lawama za juu juu tu.

Ni sawa na machinga serikali ingesema iwakomalie ingekuwa balaa, machinga anaipotezea serikali trillions of shillings annually in VAT revenues and provides a gateway for many business to reduce their taxes. Basi tu ni busara ya wizara ya fedha inayotumika kutokana na mazingira yetu, ningelikuwa mimi waziri wa fedha machinga angetia adabu.
 
Hao wabunge wauingereza washikirie hapo Hapo wasiachie. Hizi kampuni hazijifunzi tu toka kwa safaricom Kenya kwenye uchaguzi uliopita.....
 
Wamezoea kutudharau watanzania kwa umasikini wetu, wakajiona wao ndio miungu watu wakiamini wanaweza kufanya chochote kuisaidia CCM, kwasababu CCM ndio imeshika hatamu nchini, wakasahau sasa hivi dunia ni kijiji, sasa wacha waisome namba vizuri sana.
Wanafanya mambo ya hovyo kabisa
 
Back
Top Bottom