Juice world
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 1,982
- 2,706
Tafuta hela masikini weweUnatumia nguvu ujulikane , sio kila mtu anakujua ..Tafuta pesa halafu kausha mpaka tutakapokuona pale top tena ndio watu watakufuatilia .
Una pesa za kawaid sana , ungerekebisha pua kwanza maana imepinda.
Tafuta helaUna hela ila huna amani
Tafuta helaTatizo la afya ya akili linatibika waone wataalam wa afya ya akili.
Tafuta hela masikini weweID ya mwanzo #Christopher Paul sasa hv una jiita Chief Godlove uko obsessed sana na uyo jamaa sio angalia wasije kula ilo Jicho tu
HahaaaaaaID ya mwanzo #Christopher Paul sasa hv una jiita Chief Godlove uko obsessed sana na uyo jamaa sio angalia wasije kula ilo Jicho tu
Hela atoe wapi?Una hela ila huna amani
Tafuta hela masikini weweHela atoe wapi?
Hauna pesa mshamba tu !Tafuta hela masikini wewe
Hahaaaaaa, umewaamulia maskini wa JF sio? Nimecheka sana. Komaa nao hao maskini. πππππTafuta hela masikini wewe
Tafuta hela masikini weweTo you JF members, hivi mnajua kuwa mkimjibu ndo mnazidi kumpa exposure!!? Just chill guys na uzi wake msiuguse halafu muone kama atakuja kurudi tena humu ndani.
Hahaha masikini watafute helaπ€£π€£π€£π€£Hahaaaaaa, umewaamulia maskini wa JF sio? Nimecheka sana. Komaa nao hao maskini. πππππ
Ungepewa attention na waliokulea usingekuwa hivi.Tafuta hela masikini wewe