Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Ama kwa hakika ngoma ya watoto haikeshi , timu ya Arsenal sasa ni dhahiri haitaweza tena kuingia kwenye top 4 , na kwa kadiri ya maono yangu itamaliza nje ya 6 bora.
Ni timu ambayo inacheza bila malengo yoyote , wachezaji wake hawaonekani kujali wala kupigania chochote , wala hawana hata aibu wakipoteza game , hawana uchungu wala hawaguswi na chochote , wako kama wanyama wa mwituni .
Nawapa pole sana washabiki wa timu hii , enzi ya Wenger bado ipo , haijaondoka .
Ni timu ambayo inacheza bila malengo yoyote , wachezaji wake hawaonekani kujali wala kupigania chochote , wala hawana hata aibu wakipoteza game , hawana uchungu wala hawaguswi na chochote , wako kama wanyama wa mwituni .
Nawapa pole sana washabiki wa timu hii , enzi ya Wenger bado ipo , haijaondoka .