Masikitiko : Arsenal itamaliza nje ya Top 6

Masikitiko : Arsenal itamaliza nje ya Top 6

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Ama kwa hakika ngoma ya watoto haikeshi , timu ya Arsenal sasa ni dhahiri haitaweza tena kuingia kwenye top 4 , na kwa kadiri ya maono yangu itamaliza nje ya 6 bora.

Ni timu ambayo inacheza bila malengo yoyote , wachezaji wake hawaonekani kujali wala kupigania chochote , wala hawana hata aibu wakipoteza game , hawana uchungu wala hawaguswi na chochote , wako kama wanyama wa mwituni .

Nawapa pole sana washabiki wa timu hii , enzi ya Wenger bado ipo , haijaondoka .
 
Ama kwa hakika ngoma ya watoto haikeshi , timu ya Arsenal sasa ni dhahiri haitaweza tena kuingia kwenye top 4 , na kwa kadiri ya maono yangu itamaliza nje ya 6 bora.

Ni timu ambayo inacheza bila malengo yoyote , wachezaji wake hawaonekani kujali wala kupigania chochote , wala hawana hata aibu wakipoteza game , hawana uchungu wala hawaguswi na chochote , wako kama wanyama wa mwituni .

Nawapa pole sana washabiki wa timu hii , enzi ya Wenger bado ipo , haijaondoka .
Uko sahihi...100%

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ama kwa hakika ngoma ya watoto haikeshi , timu ya Arsenal sasa ni dhahiri haitaweza tena kuingia kwenye top 4 , na kwa kadiri ya maono yangu itamaliza nje ya 6 bora.

Ni timu ambayo inacheza bila malengo yoyote , wachezaji wake hawaonekani kujali wala kupigania chochote , wala hawana hata aibu wakipoteza game , hawana uchungu wala hawaguswi na chochote , wako kama wanyama wa mwituni .

Nawapa pole sana washabiki wa timu hii , enzi ya Wenger bado ipo , haijaondoka .
Nlijua utaichambua ki taalamu kumbe ndo kwanza unaleta maneno ya kihuni na ki shabiki... huna point ya msingi apo[emoji41]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa kipigoo mnachoenda kuchukua kwa chelsea na, man u anavokuja speed of light apaa arsenal hamna namna ni kushuka mpaka nafasi ya sita......

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ama kwa hakika ngoma ya watoto haikeshi , timu ya Arsenal sasa ni dhahiri haitaweza tena kuingia kwenye top 4 , na kwa kadiri ya maono yangu itamaliza nje ya 6 bora.

Ni timu ambayo inacheza bila malengo yoyote , wachezaji wake hawaonekani kujali wala kupigania chochote , wala hawana hata aibu wakipoteza game , hawana uchungu wala hawaguswi na chochote , wako kama wanyama wa mwituni .

Nawapa pole sana washabiki wa timu hii , enzi ya Wenger bado ipo , haijaondoka .
mkuu ni ngumu sana kocha kumjudge kwenye msimu wa kwanza.... tupo vizuri mbele/ushambulizi ila beki mh
 
Ama kwa hakika ngoma ya watoto haikeshi , timu ya Arsenal sasa ni dhahiri haitaweza tena kuingia kwenye top 4 , na kwa kadiri ya maono yangu itamaliza nje ya 6 bora.

Ni timu ambayo inacheza bila malengo yoyote , wachezaji wake hawaonekani kujali wala kupigania chochote , wala hawana hata aibu wakipoteza game , hawana uchungu wala hawaguswi na chochote , wako kama wanyama wa mwituni .

Nawapa pole sana washabiki wa timu hii , enzi ya Wenger bado ipo , haijaondoka .
Bora umeona hilo ivi tunatupa nyuma arsenal mbali saana tuna kimbizana na Chelsea then Totenham ,,kwa uwezo wa Mungu Tunamalza top3 Man utd Fo ever[emoji6][emoji28][emoji123]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kocha wenu kishakubali
Screenshot_2019-01-14-10-12-41-842_com.bskyb.fbscore.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom