Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
hatubahatishi mjombaAcha papara.......
Tuache kwanza na arsenal yetuhatubahatishi mjomba
Uko sahihi...100%Ama kwa hakika ngoma ya watoto haikeshi , timu ya Arsenal sasa ni dhahiri haitaweza tena kuingia kwenye top 4 , na kwa kadiri ya maono yangu itamaliza nje ya 6 bora.
Ni timu ambayo inacheza bila malengo yoyote , wachezaji wake hawaonekani kujali wala kupigania chochote , wala hawana hata aibu wakipoteza game , hawana uchungu wala hawaguswi na chochote , wako kama wanyama wa mwituni .
Nawapa pole sana washabiki wa timu hii , enzi ya Wenger bado ipo , haijaondoka .
Nlijua utaichambua ki taalamu kumbe ndo kwanza unaleta maneno ya kihuni na ki shabiki... huna point ya msingi apo[emoji41]Ama kwa hakika ngoma ya watoto haikeshi , timu ya Arsenal sasa ni dhahiri haitaweza tena kuingia kwenye top 4 , na kwa kadiri ya maono yangu itamaliza nje ya 6 bora.
Ni timu ambayo inacheza bila malengo yoyote , wachezaji wake hawaonekani kujali wala kupigania chochote , wala hawana hata aibu wakipoteza game , hawana uchungu wala hawaguswi na chochote , wako kama wanyama wa mwituni .
Nawapa pole sana washabiki wa timu hii , enzi ya Wenger bado ipo , haijaondoka .
twende kazi !Nlijua utaichambua ki taalamu kumbe ndo kwanza unaleta maneno ya kihuni na ki shabiki... huna point ya msingi apo[emoji41]
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu ni ngumu sana kocha kumjudge kwenye msimu wa kwanza.... tupo vizuri mbele/ushambulizi ila beki mhAma kwa hakika ngoma ya watoto haikeshi , timu ya Arsenal sasa ni dhahiri haitaweza tena kuingia kwenye top 4 , na kwa kadiri ya maono yangu itamaliza nje ya 6 bora.
Ni timu ambayo inacheza bila malengo yoyote , wachezaji wake hawaonekani kujali wala kupigania chochote , wala hawana hata aibu wakipoteza game , hawana uchungu wala hawaguswi na chochote , wako kama wanyama wa mwituni .
Nawapa pole sana washabiki wa timu hii , enzi ya Wenger bado ipo , haijaondoka .
Bora umeona hilo ivi tunatupa nyuma arsenal mbali saana tuna kimbizana na Chelsea then Totenham ,,kwa uwezo wa Mungu Tunamalza top3 Man utd Fo ever[emoji6][emoji28][emoji123]Ama kwa hakika ngoma ya watoto haikeshi , timu ya Arsenal sasa ni dhahiri haitaweza tena kuingia kwenye top 4 , na kwa kadiri ya maono yangu itamaliza nje ya 6 bora.
Ni timu ambayo inacheza bila malengo yoyote , wachezaji wake hawaonekani kujali wala kupigania chochote , wala hawana hata aibu wakipoteza game , hawana uchungu wala hawaguswi na chochote , wako kama wanyama wa mwituni .
Nawapa pole sana washabiki wa timu hii , enzi ya Wenger bado ipo , haijaondoka .
Ukitoka usingizini bila shaka utadelete ulichokiandika,nice dream mkuu.Arsenal na Chelsea hawamalizi big 4
Amini unavoaminiUkitoka usingizini bila shaka utadelete ulichokiandika,nice dream mkuu.
Uzi ufungwe !