Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hili nalisema baada ya kuishuhudia timu hii ya EPL ikiteketezwa kwa magoli 4-1 dhidi ya Southampton .
Hakuna molari tena kwa wachezaji , hawana tofauti na wachezaji wa Abajalo ya Sinza .
Kwaheri Everton .
Hakuna molari tena kwa wachezaji , hawana tofauti na wachezaji wa Abajalo ya Sinza .
Kwaheri Everton .