Masikitiko - Timu ya Taifa yawa timu ya Mkoa wa Dar es salaam

Masikitiko - Timu ya Taifa yawa timu ya Mkoa wa Dar es salaam

nimefurahi nape alipoingia tu, watu wakamshangilia wanataka kumpa mkono. anapendwa na watu. yule mwingine hakujulikana kama yupo uwanjani hadi nape alipoenda kukaa naye...najua atakuwa amejisikia vibaya sana.
Mwakyembe hajawahi kuwa na aibu hata mara 1
 
Wacha Maneno lete matokeo....

Mbona hamlalamiki ccm kuwepo madarakani peke yao bila wapinzani?
 
Kikubwa tuangalie je kuna upendeleo wowote kwenye kuchagua kikosi? Mwingine atakuja na kudai mbona timu imejaa maustadh?
 
Mbona wachezaji wa timu za mkoani waliitwa kikosini! Sema hawajapangwa kwenye kikosi nilisikia wanatajwa Mbaraka Yusup 'Kagera',Kabunda Salum 'Mwadui' na Salimu Mbonde 'Mtibwa' ishu ni kupangwa tu,huwezi toka Kolomije ukaja mjini hapa upangwe kirahisi Samatha akae benchi hata kama kaka ako ndo RC.
 
Brazil wachezaji wao wa timu ya Taifa wanacheza nje ya nchi, basi hao hawana utaifa kabisa maana Brazil ligi kuu ipo!
 
Wewe mwehu nini? Kila wakitaka watu kujua unadhani CDM!! Ni watanzania ndugu yetu, pole sana kwa kutojitambua.
Kwani wapi nimesema Chadema sio ndugu zetu.!
 
Sitaki kuamini kwamba wachezaji wazuri nchi hii wamo kwenye timu zile 3 tu za mkoa wa DSM , hii itakuwa ni kashfa kubwa sana na ni kutowatendea haki wachezaji wengine waliojazana kila pembe ya nchi .

Sijaridhishwa na uteuzi wa timu yetu ya Taifa , ni wa kibaguzi na umejaa ubabaishaji mtupu.

Nakulilia Maximo .
na mwingine atakuja kulalamika team imejaa waislamu tu na mwingine mbona team imejaa wakristo tuu
watanzania akili zetu tunazijua wenyewe aisee
 
Back
Top Bottom