Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #21
Mwakyembe hajawahi kuwa na aibu hata mara 1nimefurahi nape alipoingia tu, watu wakamshangilia wanataka kumpa mkono. anapendwa na watu. yule mwingine hakujulikana kama yupo uwanjani hadi nape alipoenda kukaa naye...najua atakuwa amejisikia vibaya sana.
Sio ile ya kna nteze john kweliNadhani ilikuwa ile miaka kati ya 1994 na 1995
Timu ilikuwa na wachezaji wazuri akina Gasper Lipindo na sekilojo chambua kama sikoei
Mwambie bashiteNiombe radhi mkuu .
Wewe mwehu nini? Kila wakitaka watu kujua unadhani CDM!! Ni watanzania ndugu yetu, pole sana kwa kutojitambua.Hivi Chadema mmeumbwa kulalamika?
Kwani wapi nimesema Chadema sio ndugu zetu.!Wewe mwehu nini? Kila wakitaka watu kujua unadhani CDM!! Ni watanzania ndugu yetu, pole sana kwa kutojitambua.
Ilifika fainali. Namkumbuka sana Salum Kabunda. Wakati kakakuona wakifika fainali wale Simba na Yanga walitolewa mapemaHukumbuki mwaka fulani iliundwa timu ya taifa B nadhani ilikuwa inaitwa KAKAKUONA ikafika nusu fainali kama sio fainali challenge.....mwenye kumbukumbu anirekebishe tafadhali
[emoji109]Ilifika fainali. Namkumbuka sana Salum Kabunda. Wakati kakakuona wakifika fainali wale Simba na Yanga walitolewa mapema
Aveva na kundi lake wamebakiwa na msimu huu tu .Kazi ya kumtoa Aveva imekushinda umebaki unalialia tu kila siku
Sent from my NokiaX2DS using JamiiForums mobile app
Mwakani wamchangani mna uchaguzi wewe ulisema hatamaliza kipindi chake cha uongoziAveva na kundi lake wamebakiwa na msimu huu tu .
na mwingine atakuja kulalamika team imejaa waislamu tu na mwingine mbona team imejaa wakristo tuuSitaki kuamini kwamba wachezaji wazuri nchi hii wamo kwenye timu zile 3 tu za mkoa wa DSM , hii itakuwa ni kashfa kubwa sana na ni kutowatendea haki wachezaji wengine waliojazana kila pembe ya nchi .
Sijaridhishwa na uteuzi wa timu yetu ya Taifa , ni wa kibaguzi na umejaa ubabaishaji mtupu.
Nakulilia Maximo .
Hacha umbumbumbu co kla sehemu ni siasaHivi Chadema mmeumbwa kulalamika?