Masikitiko ya Kumpoteza Msanii wangu wa Rap, Jose Mtambo

Masikitiko ya Kumpoteza Msanii wangu wa Rap, Jose Mtambo

Pombe huamia kwenye madawa chanzo sio madawa chanzo ni pombe, mlevi yoyote hupenda kupata booster kuboost steam yaan stimulation ziwe juu zaidi ya pale alipo na zipande kwa muda mfupi yaan akigusa tu kalewa ndio hapo anapohama kwenye madawa ndio maana siipendi pombe kabisa kwanza mimi na walevi hatupatani, sio msabato sio mlokole sio mwislamu ila pombe big no
Mzee mbona una makasiriko na pombe kama mke mwenza?

Pombe haina uraibu huo... Kunywa unachomudu kunywa kwa kiasi.

BIblia inasema kunywa kwa kiasi....

Acha makasiriko kwa kitu usichokijua.
 
Mzee mbona una makasiriko na pombe kama mke mwenza?

Pombe haina uraibu huo... Kunywa unachomudu kunywa kwa kiasi.

BIblia inasema kunywa kwa kiasi....

Acha makasiriko kwa kitu usichokijua.
Siipendi pombe sababu kuna walevi wakilewa wanafanya fujo zisizo na kichwa wala mbele wala nyuma wala miguu yaan wanawehuka wanakua matahira wanarukwa na akili na akili zao zinagoma kufanya kazi wanageuka machizi kabisa vichaa na pia pombe zimeua watu wengi ninaowajua

Mbaya sana nikisikia kuna mlevi kafa somewhere mimi sishikwi na huzuni hua nasema bora amekufa tupumzike sasa maana alikua anatusumbua tusiokunywa sababu yeye anakunywa
 
Chanzo cha yote ni Pombe ndio maana mimi naichukia Pombe mpaka siku nazikwa Chini sitokuja kuigusa Pombe
Pombe haina ubaya, inategemea unainywa kwa malengo yapi na kiwango unachokunywa, unaiendesha au inakuendesha?
 
Pombe haina ubaya, inategemea unainywa kwa malengo yapi na kiwango unachokunywa, unaiendesha au inakuendesha?
Pombe inaua nina watu nawafahamu pombe imewaua na wengi wanakufa usiku kuelekea asubuhi

Kuna mlevi mmoja hapa nasubiri afe nipike kuku pilau na kufanya sherehe maana anatusumbua sana ni chizi kichaa tahira asiejitambua akishalewa anakua mwehu anatukana ovyo watu bila sababu anaweza akaacha mlango wazi akasema wewe ndio umeacha mlango wazi anakushushia mitusi

Akiwa hajalewa anakua km msabato fulani hivi subiri alewe ndio utajua kua hili domo ni chafu limejaa matusi ya kila aina

Rejea yule Mlevi aliemtukana RC wa Tabora sasa vile ndio pombe hufanya
 
Wabongo bhana!

Kuna siku niliungwa group la WhatsApp la former classmates nakuta watu wanahimizana kumuombea dogo mmoja kawa addict!

Nikaachana na hilo group hapohapo! Starehe za mtu hazijawahi kuwa shida zangu.
 
Starehe za mtu hazijawahi kuwa shida zangu.
Na wakifika ukingoni wanatia huruma sana ila acha tu, mlevi akiumwa anatia huruma sana asikwambie mtu kumbe ile huruma anatia ni kwa sababu ya kunywa mimaji na midawa hapendi dawa zikimuimarisha siku 2 ya 3 akiwa fit kabla hajamaliza dozi huyo anaingia tena mtoni kupiga maji, unajiuliza huyu dozi hajamaliza dawa kanywa siku 3 kwanini anarudi tena kwenye tungi? Na akishalewa mitusi mfululizo kesho anaumwa tena anaanza kutia huruma
 
Siipendi pombe sababu kuna walevi wakilewa wanafanya fujo zisizo na kichwa wala mbele wala nyuma wala miguu yaan wanawehuka wanakua matahira wanarukwa na akili na akili zao zinagoma kufanya kazi wanageuka machizi kabisa vichaa na pia pombe zimeua watu wengi ninaowajua

Mbaya sana nikisikia kuna mlevi kafa somewhere mimi sishikwi na huzuni hua nasema bora amekufa tupumzike sasa maana alikua anatusumbua tusiokunywa sababu yeye anakunywa
POle kwa trauma....

Huyo Jose Mtambo ni urahibu wa madawa. Pombe hizi za kawaida hazina uraibu huo. Pombe za weekend hazina hayo mambo.

Ingawa tunashauriwa kama huwezi acha usiendekeze.

Kuna sababu ya serikali kukataza madawa, bangi, mirungi na kuruhusu pombe....

All in all akili kumkichwa.
 
Pombe hizi za kawaida hazina uraibu huo. Pombe za weekend hazina hayo mambo.

Ingawa tunashauriwa kama huwezi acha usiendekeze.

Kuna sababu ya serikali kukataza madawa, bangi, mirungi na kuruhusu pombe....

All in all akili kumkichwa.
Unywaji Pombe kupita Kiasi ni Hatari kwa Afya yako ya Akili
 
POle kwa trauma....

Huyo Jose Mtambo ni urahibu wa madawa. Pombe hizi za kawaida hazina uraibu huo. Pombe za weekend hazina hayo mambo.

Ingawa tunashauriwa kama huwezi acha usiendekeze.

Kuna sababu ya serikali kukataza madawa, bangi, mirungi na kuruhusu pombe....

All in all akili kumkichwa.
Bora wakataze vyote watuachie bangi!
 
Kuna mstari wa Kimbunga Mchawi anasema "Jose Mtambo yupo chimbo anakula viroba", Jose,Roma na Darassa wakaja kumjibu kupitia ngoma ya Kaa tayari.

Huenda Roma angekuwa rafiki mzuri, mwenzake asingefikia huku! Inawezekana Kimbunga alishaona uraibu wa mshkaji kitambo sana kabla mambo hayajaharibika!
Ndiyo yale ya Jay mo,alumchana Langa kuhusu madawa watu wakamjia juu jay mo

Ova
 
Wasanii wa bongo flava wajue wako Tanzania na sio Marekani. Kutaka kuishi kama wasanii wa Amerika kwa kisingizio cha kulinda brand itazidi kuwagharimu mno. Wasioumudu gharama ndo huishia kupata stress na kujiingiza kwenye uraibu wa pombe na madawa. Wajue hata hao wasanii wa Amerika wengi wao hufilisika na kuishia kwenye madeni. Mifano ni mingi.
Kweli ulichosema mzee wa hiphop
Kama chid alikuwa anajiona yuko mbele

Ova
 
Back
Top Bottom