Masimango na kejeli kwa wanaoonekana wamechelewa kuoa/ kuolewa na kupata watoto uzeeni au umri ukiwa umekwenda

Point sana

Kuna watu wanatamani sana kuwa na familia ila ndio hivyo tena Mungu anakuwa bado hajaamua.

Walimwengu punguzeni maswali, umeoa? umeolewa? una watoto wangapi? umri unaenda ujue.

Mungu ndio mpanga wa yote.
 
Point sana

Kuna watu wanatamani sana kuwa na familia ila ndio hivyo tena Mungu anakuwa bado hajaamua.

Walimwengu punguzeni maswali, umeoa? umeolewa? una watoto wangapi? umri unaenda ujue.

Mungu ndio mpanga wa yote.

Your points are well taken.

Ila.

Mungu ni chaka tu tunalosukumia mambo yote tusiyoyaelewa vizuri.

Hakuna aliyeweza kuthibitisha yupo.

Na pia, imani ya Mungu (Abrahamic) ina uhusiano mkubwa na unyanyapaaji wa watu wasio na watoto.
 
Your points are well taken.

Ila.

Mungu ni chaka tu tunalosukumia mambo yote tusiyoyaelewa vizuri.

Hakuna aliyeweza kuthibitisha yupo.

Na pia, imani ya Mungu (Abrahamic) ina uhusiano mkubwa na unyanyapaaji wa watu wasio na watoto.
Tafadhali ndugu
Fafanua hapo kwenye uhusiano wa hizo Imani na unyanyapaaji wa wasio na watoto......
 
Tafadhali ndugu
Fafanua hapo kwenye uhusiano wa hizo Imani na unyanyapaaji wa wasio na watoto......
Ni hivi,

Dini hizi Abrahamic, zimehimiza kuzaana.

Zimetukuza kuzaana kuwa ni neema.

Zimesema kuzaana ni agizo la Mungu. Zimesema zaeni mkaongezeke mkaijaze dunia.

Zimeeleza kwamba mti mtini usiozaa matunda umelaaniwa.

Hivyo, usipokuwa na ntoto, kwa mujibu wa dini hizi, kuna mawili.

1. Una uwezo wa kuzaa/kuzalisha, hujataka tu, hivyo umekaidi maagizo ya Mungu ya kuzaliana.

2. Kama huna uwezo wa kuzaa/kuzalisha, kwa namna moja au nyingine umelaaniwa na Mungu kama ule mti mtini usio na matunda.

Hivyo, kwa mujibu wa falsafa za kina za hizi dini, usipokuwa na mtoto ama wewe umekaidi amri ya Mungu, au umelaaniwa na Mungu. Yote majanga.

Dini zina ubingwa wa kuuma na kupuliza ukiziangalia kwa juujuu, na hivyo unaweza kutafuta aya za kupuliza, lakini ukitazama kwa kina dini ndiyo msingi mkubwa wa kunyanyapaa watu wasio na watoto.
 
Vigezo ni viwili tu
1. Upo tayari kuingia kwenye ndoa
If YES, ingia

2 Upo tayari kuwa na watoto
If YES, zaa

Kinyume na hapo usifanye hivyo vitu.
Na usisikilize watu wanaongea nini
100% correct. Shida huanziavkwa wazazi wanaoleta watoto duniani ili hali hawapo tayari. Mtoto akifika 15 years wanazazi hawahudumii tena anaanza kupalangana mwenyewe.
Kama ni wa kiume hadi akajipate inaweza mchukua muda ndio afikiri kuoa ila kama ataamua kuo kabla ajipate maana yake anaendeleza makosa ya wazazi wake na anaendeleza ukoo ule ule usio na mbele wa nyuma. Kama wa kike ndio utakuta kabint ka watu kanaanza kuchukulia mahusiano mtaji. Kakipata kijana ni mizinga tu kumbe maskini mzazi wake hakapi mahitaji yake, kijana nae hajajipata mwisho anaona isiwe tabu anapita kushoto.
Kakipata mimba kwenye maisha hayo ndio single mama mwingine in town
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…