Masingle moter hatari kwa malezi ya vijana wetu

Masingle moter hatari kwa malezi ya vijana wetu

mwaibile

JF-Expert Member
Joined
Nov 16, 2022
Posts
727
Reaction score
2,004
Natumaini wikiend iko poa sana twende kwenye mada kuna jamaa yangu mmoja napiga nae mishe yani ni shida kila jambo ukiongea nae au mkashauliana bas lazima lifike kwa mama yake uzuri mama yake baadhi ya biashara namuuziga kwaiyo ananiambiaga nilichokuja kugundua jamaa makuzi ya kulelewa na single mother yamemuathiri sana maana mother wake alizaa na mume wa mtu kwa ushauli ma dada zetu ukiona umezaa na jamaa mkapata mtoto wa kiume alafu mkashindwa kuendelea bora umpe mtoto jamaa amlee ila kama wa kike sawa ishi nae ww
 
💯✍️✍️✍️ Akiwa wakiumee akalelewe na baba km Kwa baba Kuna usalamaa...
 
Twende TU itajulikana mbele kwa mbele
Unampa jamaa mtoto wa kiume anakutana na mama wa kambo hapo utaipenda show yake
 
Natumaini wikiend iko poa sana twende kwenye mada kuna jamaa yangu mmoja napiga nae mishe yani ni shida kila jambo ukiongea nae au mkashauliana bas lazima lifike kwa mama yake uzuri mama yake baadhi ya biashara namuuziga kwaiyo ananiambiaga nilichokuja kugundua jamaa makuzi ya kulelewa na single mother yamemuathiri sana maana mother wake alizaa na mume wa mtu kwa ushauli ma dada zetu ukiona umezaa na jamaa mkapata mtoto wa kiume alafu mkashindwa kuendelea bora umpe mtoto jamaa amlee ila kama wa kike sawa ishi nae ww
Endeleeni na women empowerment zenu hayo ndo matunda yake
Women empowerment imegeuka kuwa fighting against men sasa matokeo yake ndo hayo
Kama what a man can do a woman can do better tulitegemea akimlea peke yake ndo mtoto atakuwa very strong
 
Jamani tuwe makini sana na vitu kama hivi,
Unaweza kujikuta unaingia kwenye matatizo bila kupenda na ndio shida ya watanzania wengi na inatuponza sana.
Unakuta mtu yupo seriously kabisa anasoma comment yangu badala andike ya kwake 😅
 
Jamani tuwe makini sana na vitu kama hivi,
Unaweza kujikuta unaingia kwenye matatizo bila kupenda na ndio shida ya watanzania wengi na inatuponza sana.
Unakuta mtu yupo seriously kabisa anasoma comment yangu badala andike ya kwake 😅
 
Back
Top Bottom