Masister duu na wanawake wa maofisini mnatembea na vinyesi

Masister duu na wanawake wa maofisini mnatembea na vinyesi

amos eglan

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2015
Posts
310
Reaction score
463
Yaani siku izi wadada wengi haswa warembo na wa maofisini wanamchezo wa kutembea na tishu na vijitambaa flani mfano wa tishu vinakuwa na unyevu unyevu hivi sasa kumbe hizi tissue na vijitambaa ndo wakienda msalani kukata magogo au haja ndogo wanajipangusa wanaondoka eti kisa hawataki mimaji maji mimaji yaani huu ni uchafu wa kiwango cha kimataifa ivi kwa nn mwanamke utumie tissue? Ndo maana nyuzi za maradhi yenu sehemu za siri haziishi mnatembea na uchafu haswa madada wa maofisini, wadada wa chuo na ma sister duu tishu mnajipaka vinyesi
 
Ila kama ni kwel waache tu kufanya hivyo maji ni muhim sana kutumia kipindi cha kujisafisha, sema kuna hawa wenye mikucha kama majini kabula aisee huwa hata mm ninahofu nao kama huwa wanasafisha nyeti zao vizur, maana na mikucha ile, fulu kinyesi kwenye kucha
 
Ha ha ha haaaa, wadau wamemjibu vizuri kweli.
Wewe ishi maisha yako, zile wipes sio za chooni tu hata mikononi na usoni pia, halafu unaonekana huna kazi ya kufanya.
Yaani umekaa mpaka unachunguza muda watu wanaenda kukata magogo?
Eboooo. Kasome kule.
 
Ha ha ha haaaa, wadau wamemjibu vizuri kweli.
Wewe ishi maisha yako, zile wipes sio za chooni tu hata mikononi na usoni pia, halafu unaonekana huna kazi ya kufanya.
Yaani umekaa mpaka unachunguza muda watu wanaenda kukata magogo?
Eboooo. Kasome kule.
Hata kama wamemjibu vizuri ila ujumbe umefika Kwa wahusika
 
Back
Top Bottom